Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
hebu mtafute Jawilat akusaidie basi.Jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu mtafute Jawilat akusaidie basi.Jamani
mi siongei sana Bado nayajenga na moderator hukoWewe sina acc nyingine mm
Akija uniambie nizime dataAmekalibia Kuja Just Wait Few Minute Ila Mtamuenza Sasa ...???
Cc Mjukuu Wa Chief
Naona mnanitafuta leohebu mtafute Jawilat akusaidie basi.
Ah ah ah ah ah ah Mambo Yako Haya Shunie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mweeeh hornet ebu ongezea tunyama hapo kwa mama mchungaji ujue tulikuwa bado labda hatujaingia jf
Sasa Mtamuachia Nan Iyo Misala Yenu Jaman....?Akija uniambie nizime data
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kesi bado iko kwa pilato
Watakupata TuuuuuuhhNaona mnanitafuta leo
Hapo sasaaLabda mjukuu wa chifu kaja na I'd yake ya pili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hivi niwe na I'd ya pili ushindwe juwa na ban nilizopigwa si ningekuwa napatikana jf
We si ndo unamuita jamanSasa Mtamuachia Nan Iyo Misala Yenu Jaman....?
Kama mimi nilivyozushiwa na mdada mmoja kuwa ile ya mamiake ni yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nilivyo msahaulifu hivi naanzaje kumanage account mbili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambie sasa mbona we na jestkilla uhandishi tofauti jestkilla hatakagi ujinga kabisa
Na Ww Kwann Uzime Data Sasa....?? Ina Mana Unamuogopa Sio....??We si ndo unamuita jaman
Moja iwe mbili vipiii si aniambie anataka kunitoa lunch au dinner sio maswali hayoAh ah ah ah ah Ila Shunie Mtu Akikuuliza Ivyo Ina Mana Anataka Moja Iwe Mbili
Wakubwa Wamenielewa Hapa
Cc Mjukuu Wa Chief
hivi ilikuaje ukhuty akaungwa id yake na yure impogo sijui!!.. Ni makosa ya mod?..Kama mimi nilivyozushiwa na mdada mmoja kuwa ile ya mamiake ni yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nilivyo msahaulifu hivi naanzaje kumanage account mbili
Ungekua unawajibu sijala sina helaHalaf wamefanana sana jaman me nachoka mpaka huwa siwajibu mtu anakuja shunie umeshakula khaaa nakaaje na njaa sasa
Kusutwa ndo sijawahi,sina uzoefu si unajua kila kitu uzoefu.Na Ww Kwann Uzime Data Sasa....?? Ina Mana Unamuogopa Sio....??
Lazma Chochoko Ziwepo Lakin ShunieMoja iwe mbili vipiii si aniambie anataka kunitoa lunch au dinner sio maswali hayo
Kuna kipindi nilitest zali nikafungua Id ya kiumeKama mimi nilivyozushiwa na mdada mmoja kuwa ile ya mamiake ni yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nilivyo msahaulifu hivi naanzaje kumanage account mbili