Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Sisi tuliogegedwa sijui ilikuwaje ? Huku kuna machizi etiJf bwana!! Sawa tuu
Mbon umefrai mkuu😀😀😀😀😀😀😀😀
Dada yupi huyo?We nae mwoga umemuogopa yule dada pale Tabata alitaka akakugegede 😀😀😀😀😀
Nabii WA nn au WA demisNi Nabii na mtume mbona kitambo
Nauli za kuja kugonganaMnatumaga nauli za nini Mkuu?
Hakuna mwanamke wa jf wa hvo.ukiona I'd imekaa kimalaya jua huyo ni dumeNauli za kuja kugongana
Kale ka witi? Kashenzi kweli.kanavunja ndoa za watu kweli kaleYule dada wa baa
Kwan pm kunajadiliwa nini antMnajadili siasa pm.nyie ni wahaini ama nini?
Huyo sasa alikuwa demu,alinipa namba na kumtafuta fb nikakuta mambo mengi ya fb na jf yanafanana. Hata avatar ya hapa aliwahi kuitumia fbHakuna mwanamke wa jf wa hvo.ukiona I'd imekaa kimalaya jua huyo ni dume
KweliHakuna mwanamke wa jf wa hvo.ukiona I'd imekaa kimalaya jua huyo ni dume
Shosti naomba huo ubuyu [emoji23][emoji23]Kale ka witi? Kashenzi kweli.kanavunja ndoa za watu kweli kale
Kwani mtu hawezi kuwa na profile feki fb pia?Huyo sasa alikuwa demu,alinipa namba na kumtafuta fb nikakuta mambo mengi ya fb na jf yanafanana. Hata avatar ya hapa aliwahi kuitumia fb
Mambo ya kutuma nauliKwan pm kunajadiliwa nini ant
Sasa kwanini ulimuogopa? Au uliona atakulaa hela halafu asitokee?Huyo sasa alikuwa demu,alinipa namba na kumtafuta fb nikakuta mambo mengi ya fb na jf yanafanana. Hata avatar ya hapa aliwahi kuitumia fb