Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

Kuna mtu humu anaitwa Giresi aliwahi kuja na uzi ana makalio makubwa mpaka anashindwa kutembea!Uzi ukafika page 200+ Moderator wakiwa kwenye zoezi la kuunga multiple ID ile ID ya uzi ikaungwa na mwanaume mmoja star sana humu JF

Bujibuji alimmaindi sana huyo mleta uzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom