Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Madamu headmistressWapi Husnathebosslady
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madamu headmistressWapi Husnathebosslady
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu vituko vya humu ni vya kiwango cha Ph.D[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa we jamaa bhana...
Kwa hiyo ukijitambulisha hawawezi kuziunganisha?Watakuwa wanakosea sana me I'd yangu ingine naitumia nikiwa na ban tena nakuwaga open nawafata nayo mod pm najitambulisha kabisa na jukwaani nasema kabisa Mimi miss
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wengine wanacomment kama ke ukimuuliza anasema me mara leo akajiita woman somewhere nikasema lahaulaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahha.
We nae lini utalifunga hilo domo lako.
Kila SAA liko wazii???
Kweli kabisa..Jf haijawahi isha visanga.
Kila leo afadhali ya jana. Lol
Hahahahahahaaa.
Mrembo upo?Alikuwa nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Madamu headmistress
NipooMrembo upo?
Kavu hatari vaa soksi
JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.
Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..
Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀