Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

Watakuwa wanakosea sana me I'd yangu ingine naitumia nikiwa na ban tena nakuwaga open nawafata nayo mod pm najitambulisha kabisa na jukwaani nasema kabisa Mimi miss
Kwa hiyo ukijitambulisha hawawezi kuziunganisha?
 
Madamu headmistress
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Alikuja kwa mbwembwe sana akajitambulisha na picha katupia.

Mimi nilimfuatilia kwenye uzi wake wa utambulisho halafu nikamsoma nikagundua kuwa sio mgeni ila anatuchora, nikamwambia.

Siku zikapita kama miezi hivi ndio akaja kutumbuliwa akiwa kwenye intaviuu ya DJ Sepetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.

Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..

Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

wengi wamepata pesa wamenunua simu touch ' wanajiunga na jf na wengine ni watoto na wanafunzi utawajua kwa mada zao za kipuuzi
 
Back
Top Bottom