Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Husna hakuwa maskini bna[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ana makalio makubwa adi anashindwa kutembea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.
Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..
Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Siku hizi jf haiaminiki sana unaweza sema baunsa, kumbe upo kama Betina 😀😀😀😀😀
Ewh! We were aware from the beginning! That y're on the safe hands..Ouwww so sorii bro.. Your sis is doing well siunajua tena kwa Le great king Smart911 hakuna matata..
Everything is gudooo [emoji106] [emoji106]
Sina tabia hzo mkuuCC:Miss Natafuta![emoji53][emoji53][emoji53]
Hiki kitumbua kitageuka dusheee loooo mbn nitagegeda wote humuuuu
HatariiiiAh ah ah ah ah ah
Juzi ulisema wewe ni bikira leo umeibuka na uzi kuwa mtoto wako wa miezi sita ana tatizo la kupupu!Sina tabia hzo mkuu