Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Nshamuona duh JF kuna vituko
Mbona ameshatajwa kuna post utakuwa umeruka ebu panda kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ameshatajwa kuna post utakuwa umeruka ebu panda kidogo
Nimekwambia mtafute nani!?..mbona unanitafutia ugomvi wewe!!..[emoji23]Hahahaha jamani ebu endelea basi ikawaje sasa akabadili I'd babu jamani mchepuko wa dada angu sakayo
Jukwaa gani hili?
Na mi sikupati pm jamaniMzigua nna shida pm inagoma sijui ndo umeifunga
Ndio maana sielewi elewi
hahaaa nyie mnataka notification zangu za nini ....hebu pambaneni na hali zenu aiseee..""Hahahh hata najua me mwenyew nyuzi zangu siletewi notification zake!..
Hivi unajua babu wa warembo kabla ya ujanja alikuwa anaitwa Chrispin?. Naona unanitafutia kufukuliwa makaburi yangu buree!!.. Mtafute hearly atakusaidia fukua makaburi mie niache!!
HshahaNdio Mwenye Ushungi Uyooh
Charm Deko Anavyo Deka Sasa Acha TuuuuSanaaaa jamani mpaka kuku wanaona wivu
Khaaa au ndo imejifunga mana nimehangaika nayo sanaNa mi sikupati pm jamani
Mwaga Manyaga TuuuuNimekwambia mtafute nani!?..mbona unanitafutia ugomvi wewe!!..[emoji23]
Iv Ilikuwaje Kwani....??Hshaha
Ninong'oneze basi...Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake
Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko
Hahaha!!...ndio nani huyo crispin mkuu!?..hahaaa nyie mnataka notification zangu za nini ....hebu pambaneni na hali zenu aiseee..""
kuhusu babu CRISPIN hapana aisee hapo sitii neno "" wajua pakiwa na mtu anayekupa jaeuri hapa mjini yatakiwa ugeuke mbwa kwa mfugaji eehhh"" aiseee msinihatarishie kibarua changu wakuu
Mengine kina kirefu mzee na yure bibi alivyombea wasije fungua kabrasha zangu!!..Mwaga Manyaga Tuuuu
[emoji113]Ninong'oneze basi...
wew badala ya kusema aspirin ukaandika Crispin ..namimi nikaamua kukufuata hvyo hvyo ..kama kupotea tupotee wote ..hahaaHahaha!!...ndio nani huyo crispin mkuu!?..
Kisa cha kusutwa mchana kweupe mi nataka?Iv Ilikuwaje Kwani....??
Mtafute mwenye ushungiNinong'oneze basi...