Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
chai imekolea tangawizi hadi inapaliaMaandazi yako wapi....?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chai imekolea tangawizi hadi inapaliaMaandazi yako wapi....?
Hii lazima nikuige [emoji4]Hii style yakulia kama mbuzi naitumiaga sana kuwakera nakulipiza kisasi kwa walionikera kuniumiza na kuniudhi. Pia hii naitumiaga sana mbrrr mbrrrr naninatukanagwa sana basi nafurahiiiii.
Adui yako muombee njaa tu utakuwa mpumbavu ukimuombea shibe.
chai imekolea tangawizi hadi inapalia
anazingua saanaHuyu mkimbizi huwa ana ufaller mwingi sana...
Hii komoa yako imeenda another level. Sijui kwa nini sikufanya hivyo. Nimecheka balaaSinaga kinyongo mtu akinipiga kibuti na baadae akirudi nampokea vzuri kabsa,lengo na mm kumtumia na ikiwezekana nitamshawishi hadi nimle na tigo coz hapa nakuwa sina upendo moyoni ila kwa nje nina furaha kwel[emoji23]
Mkuu eti unasemaje hawatumii whatsapp? Really? Hela wanaombaga sana ila wanakurudishia.We danganya tu hao mapoyoyo.
Hakuna mzungu anatumia whatsap wala anaomba hela,unampa hela.
Labda kutoka Romania,Poland,Belarus hao wanauza tu km uwanja wa fisi.
Mimi si mkimbizi nina permanent residence na karibuni naaply sheria kubwaHuyu mkimbizi huwa ana ufaller mwingi sana...
Huo ni kukopa inarudi?Burger za mlenda labda kwenu huko,Mkuu eti unasemaje hawatumii whatsapp? Really? Hela wanaombaga sana ila wanakurudishia.
Mkuu Bado unapikaga burger za mlenda?
Hahahaha😁😁😁🤣🤣🤣😅Huo ni kukopa inarudi?Burger za mlenda labda kwenu huko,
Sili burger maisha yote nna allergy.
Mkuu ungee kwenye duka la dawa bard ukajipata Vi 25mgHii style yakulia kama mbuzi naitumiaga sana kuwakera nakulipiza kisasi kwa walionikera kuniumiza na kuniudhi. Pia hii naitumiaga sana mbrrr mbrrrr naninatukanagwa sana basi nafurahiiiii.
Adui yako muombee njaa tu utakuwa mpumbavu ukimuombea shibe.
Diaspora wetu huyo. Ndio tunawafananisha na Wanaigeria na Wakenya hawa?😀😃😄😁😆😅Hii style yakulia kama mbuzi naitumiaga sana kuwakera nakulipiza kisasi kwa walionikera kuniumiza na kuniudhi. Pia hii naitumiaga sana mbrrr mbrrrr naninatukanagwa sana basi nafurahiiiii.
Adui yako muombee njaa tu utakuwa mpumbavu ukimuombea shibe.
Burger za mlenda duhhhMkuu eti unasemaje hawatumii whatsapp? Really? Hela wanaombaga sana ila wanakurudishia.
Mkuu Bado unapikaga burger za mlenda?
Hio kwel man dahhh bonge lake na ideaDiaspora wetu huyo. Ndio tunawafananisha na Wanaigeria na Wakenya hawa?😀😃😄😁😆😅