Vituko nilivyomfanyia huyu demu kwenye simu jana hatawahi tena kunitafuta

Tatizo vijana siku hizi

Mnapenda miteremko!!!!

Utoto mwingi!!!! Sana

Maisha sio kulipiza visasi tuuu

N:B kilicho kufanya ujilize kama mbuzi ndo bado sijakiona!!
 
Nitumie picha yake DM nione kama naweza kukusaidia kulipa kisasi.
 
Ndo maana alikupga chini sababu una ukichaa na utoto
 
Hii raia huwa imepinda sana 😁....

Anachofurahisha Maghayo huwa hana baya na mtu
Kuna Id yake moja alikua anajiita Mbususu Enthusiast yaani nilikua nikiisoma nacheka sana. Nyingine anajiita Stress Challenger, yaani anaandika uchizi tu
 
Hii raia huwa imepinda sana 😁....

Anachofurahisha Maghayo huwa hana baya na mtu

Huyo ndio Maghayo the billionaire haoni shida kabisa kuelezea hisia zake na maisha yake. Hana baya na mtu

Nimecheka sana anavyokuita watu nane watu nane watu naneee nakuita watu nanee

Tunaugulia madhara ya mvua kiongozi. Uko salama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…