Vituko nilivyomfanyia huyu demu kwenye simu jana hatawahi tena kunitafuta

☕☕☕
 
Hii style yakulia kama mbuzi naitumiaga sana kuwakera nakulipiza kisasi kwa walionikera kuniumiza na kuniudhi. Pia hii naitumiaga sana mbrrr mbrrrr naninatukanagwa sana basi nafurahiiiii.

Adui yako muombee njaa tu utakuwa mpumbavu ukimuombea shibe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…