Vituko pindi nilipokuwa mtoto

Vituko pindi nilipokuwa mtoto

dripu

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2017
Posts
1,310
Reaction score
1,141
Najua mko powah wote.
Moja kwa moja niende kwenye kastore kangu nilipokuwa mdogo.
Mimi nakumbuka nilipokuwa mdogo mgeni akija nyumbani ilibidi wawe wananifungia chumbani maana wakimnunuria soda mgeni nilikuwa naenda jikoni nachukua kikombe na kuanza kuendesha kwenye meza huku simuangarii mgeni wala mama nakuwa busy na kuunguruma kama gari nikizunguka meza.

Ila mama jicho analonikata na kuanza kusema kacheze huko basi, sasa mimi ndio naigonga ile soda mpaka mwenyewe mgeni ananimiinia soda nasepa zangu ila kuna wageni wengine noma kweli walikuwa wanajikausha mpaka wananinunulia soda yangu kimbembe mgeni akiondoka mama alikuwa ananichapa hatari.

Sijui nyie vituko vyenu vilikuwa vya aina gani?
 
Hahah daah interesting.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahaa utoto raha sana vp ile tabia ya kujaribu viatu vya wageni wangapi mmepona fimbo zake
 
Najua mko powah wote.
Moja kwa moja niende kwenye kastore kangu nilipokuwa mdogo.
Mimi nakumbuka nilipokuwa mdogo mgeni akija nyumbani ilibidi wawe wananifungia chumbani maana wakimnunuria soda mgeni nilikuwa naenda jikoni nachukua kikombe na kuanza kuendesha kwenye meza huku simuangarii mgeni wala mama nakuwa busy na kuunguruma kama gari nikizunguka meza.

Ila mama jicho analonikata na kuanza kusema kacheze huko basi, sasa mimi ndio naigonga ile soda mpaka mwenyewe mgeni ananimiinia soda nasepa zangu ila kuna wageni wengine noma kweli walikuwa wanajikausha mpaka wananinunulia soda yangu kimbembe mgeni akiondoka mama alikuwa ananichapa hatari.

Sijui nyie vituko vyenu vilikuwa vya aina gani?
Mi nlikua mtiifu Sana na mtulivu....ila saivi Kimbembe sana
 
Back
Top Bottom