Vituko: Taja tukio /kituko ulichofanya ukiwa mdogo ambacho ukikumbuka sasa unajiona mjinga

Vituko: Taja tukio /kituko ulichofanya ukiwa mdogo ambacho ukikumbuka sasa unajiona mjinga

Nlikua bingwa wa kuiba udogoni, kuanzia Sh50 na Sh100 zilizokua zinakaa kihasara hasara home natembea nazo, mpaka nyama za kukaanga jikoni nlikua bingwa wa kupitia.

Kuna siku nlikua nadokoa nyama jikoni, mama akaja nikawahi kuiweka mfukoni asione. Balaa ilikua yamoto, nliungua mpaka kidonda kikaacha kovu kwenye paja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu hii ya Condom imenikumbusha movie moja ya kitambo inaitwa American pie. Mshkaji alienda home kwa mtoto wa kike bahati mbaya dingi kamkuta. Ilibidi atoke nduki na condom yake kavaa.
Mimi bwana nina vituko kadhaa au matukio kadhaa ambayo nilifanya nikiwa mdogo leo nikikumbuka najiona mjinga sana.

Kituko cha kwanza, nikiwa na miaka kama 10 hivi au 11 kuna mama mmoja tulikutana akaniuliza wewe ni mtoto wa nani, nikamwambia wa flani, akaniambia mama flani ndio mama yako nikasema ndio, akaniambia unafanana sana na mama yako, nikamwambia wewe mama una nyege(mimi sikua najua nyege ni nini) alafu nilivyokua taahira nikaenda kumhadithia mama usiku watu wamekaa, nikamwambia nimekutana na mama flani akaniambia nafanana na wewe nikamwambia ana nyege, kila mtu aliekuwepo pale alibaki mdomo wazi, mimi sikuelewa ila baadae jamaa mwingine akaniita akaniambia hilo neno ni tusi, hua nikikumbuka najiona mjinga sana. Nilimkosea sana heshima mama yangu sema nilikua mtoto na sikua najua maana ya nyege ni nini.

Tukio la pili, hili ni la ajabu kwa kweli, nilipokua form one nilikua nasoma shule ya kutwa, hivyo nilikua naishi geto, sasa kuna mtoto mmoja alikua ananipenda balaa, tunakaa jirani darasani na hata kwenye mitihani alikua anaibia kwangu. Yeye alikua anaishi kwa mjomba wake na mjomba wake alikua na tv anaonyesha banda la video, siku hiyo ijumaa tumetoka shuleni dogo anakiambia niende mjomba wake amesafiri hivyo niende kumla, nilivyo taahira tena nikavaa condom moja kwa moja kutokea geto hadi kwao binti. Ni umbali kama kilometer 3, njiani kote natembea nimedindisha mashine iko ndani ya kondom. Kabla ya hapo sikua nimewahi kulala na mwanamke.

Ile nimefika hom kwao dogo akawa bado hajamaliza mishe mishe, nikasubiri uani huku masshine ikiwa bado inasoma 8G next generation, amekuja kumaliza mishe misha kama baada ya dakika 45 mimi nasubiri tu huku mapigo ya moyo yako juu balaa(toka nimevaa condom hadi anakuja kumaliza ishafika saa nzima). Akaingia ndani kwake nyumba ndogo ambayo ndio alikua analala, nikanyatia nikaingia, ile nimeingia bado mtoto akawa anagoma anasema anaogopa hajawahi, tukaanza purukushani nikilazimisha mechi, mwisho wa siku nikavuta chupi kwa nguvu na kuichana, hapo ni kama dakika 20 tena za ziada, ile nimefanikiwa kuchana chupi na kushika mavuzi laini tu hata sijaingia kwenye mapaja nikamwaga ndani ya condom na biashara ikaishia hapo, nimekaa zaidi ya masaa 3 ngoma haiinuki nikaondoka kurudi nyumbani na huyo mtoto hakunipa tena second chance, alikuja kuliwa na mwalimu basi ikawa imekula kwangu. Juzi kanitafta facebook akanikumbushia hilo tukio la miaka karibu 20 iliyopita, nikafedheheka sana, siwezi kuomba mechi tena kulipiza kisasi kwa sababu yeye kwa sasa sio hadhi yangu tena, hayuko kwa standards zangu tena.

Nikikumbuka hayo matukio najiona mjinga sana.
 
Duh! Pole sana kwa kuungua kisa nyama.
Nlikua bingwa wa kuiba udogoni, kuanzia Sh50 na Sh100 zilizokua zinakaa kihasara hasara home natembea nazo, mpaka nyama za kukaanga jikoni nlikua bingwa wa kupitia.

Kuna siku nlikua nadokoa nyama jikoni, mama akaja nikawahi kuiweka mfukoni asione. Balaa ilikua yamoto, nliungua mpaka kidonda kikaacha kovu kwenye paja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu hii ya Condom imenikumbusha movie moja ya kitambo inaitwa American pie. Mshkaji alienda home kwa mtoto wa kike bahati mbaya dingi kamkuta. Ilibidi atoke nduki na condom yake kavaa.
Miaka hiyo mashine inaweza kusimama hata masaa 8, acha kabisa. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom