Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Kuna siku asubuhi, nilisikia mtoto alimuliza mama yake
"Mama tunaenda wapi, mbona hatujaoga?"
Wewe umesikia/kuona nini?
"Mama tunaenda wapi, mbona hatujaoga?"
Wewe umesikia/kuona nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Kuna siku asubuhi, nilisikia mtoto alimuliza mama yake
"Mama tunaenda wapi, mbona hatujaoga?"
Wewe umesikia/kuona nini?
Mnapanda punda au usafiri gani?Sisi wa mpitimbi hii mada haituhusu
Miguu inafanya kazii au baiskeli huku usafiri wa umma hakunaMnapanda punda au usafiri gani?
[emoji23][emoji23]Kuna dada aliombwa namba Cha kushangaza akawa mkali, jamaa aliishia kumwambia "dada punguza kujamba sisi binadam wenzio na sio choo" dah nilicheka sana
Mademu wanaotoka kudanga na harufu za janaba. Nuksi tupuKuna siku asubuhi, nilisikia mtoto alimuliza mama yake
"Mama tunaenda wapi, mbona hatujaoga?"
Wewe umesikia/kuona nini?