Vituko vya dini Afrika: Kenya na Tume maalum ya Rais kuchunguza waabudu shetani(Devil worship) mwaka 1994!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ni jambo la kushanga ila ni tukio halisi, Rais Daniel Arab Moi wa Kenya mwaka 1994 aliwahi kuunda tume maalum ya Rais kuchunguza imani za waabudu shetani Kenya. Hata hivyo baada ya ripoti kutoka serikali haikuiweka hadharani rasmi na iliipotezea bila kutekeleza mapendekezo yake mbalimbali kwa madai kulikuwa na mambo "sensitive" sana!



 
Kulikuwa na mambo sensitive maana yake hata serikali ina wafuasi wa devil worshippers. Kenya ndio taifa linalongoza kwa kuwa na waabudu shetani afrika mashariki. Kenya ina imani za ajabuajabu nyingi sana. Juzi kati aliibuka mzee mmoja na kudai yeye ni yesu
 
Kenya pia ndio nchi pekee ya Africa Mashariki yenye jumuiya ya Atheists iliyosajiliwa rasmi serikalini, kuna wakati baadhi ya wanadini walilamika ikafutwa wakaenda mahakamani wakashinda kesi ikarudishwa.
 
Kenya huwa inajiona ni sawa na ulaya na amerika na hata uarabuni kwa sehemu za pwani, wanakopi na kupesti imani toka sehemu hizo. Kama amerika kuna waabudu shetani waziwazi bila kubughudhiwa na wao wanaanzisha imani hiyo. Haya sasa kuna wasioamini mungu kabisa nao wamejaa tele. Hawa waabudu shetani na adhiest ndio wanaosababisha majanga ya asili yatokee na kuangamiza watu. Mara moto, mara kimbunga, milipuko ya magonjwa, ukame na mafuriko huku shetani wao hawasaidii kuzima moto ni taabu tupu na ni chukizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…