The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Kama wewe ni mtumiaji wa usafiri wa daladala, pasipo na shaka umewahi kukutana na vituko kadha wa kadha vya baadhi ya abiria, makondakta au madereva. Embu kila mtu aweke vituko alivyowahi kuvishuhudia.
mimi vyangu ni hivi vifuatavyo.
1. Mimi niliwahi shuhudia kondakta akilumbana na mama mmoja, tangu mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari, mama alikua na ujasiri sana kwani pamoja na ukorofi wa kondakta ilibidi awe mpole. Kwa tafsiri ya haraka haraka mama yule ni kama ana uwezo wa kutumia nguvu za giza (kurog) kwani mara nyingi alitoa vitisho juu ya hilo, hii ilipelekea abiria wote kukaa kimya pasipo kuingilia ugomvi hata pale konda alivyokunjwa shati abiria waliishia kucheka tuu .
2. Mdada kunisukumia makalio yake makusudi
-Kuna siku nimepanda daladala nimesimama baada ya safari kidogo gari ikapakia tena abiria alikua ni mwanadada mrembo tuu na mwenye makalio ya wastani. Mara akasimama mbele yangu cha ajabu alikuwa akijitahidi sana kunibana na makalio yake licha ya mimi kuyakwepa mara kwa mara
Ewe mdau embu tupia visa vyako........................
mimi vyangu ni hivi vifuatavyo.
1. Mimi niliwahi shuhudia kondakta akilumbana na mama mmoja, tangu mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari, mama alikua na ujasiri sana kwani pamoja na ukorofi wa kondakta ilibidi awe mpole. Kwa tafsiri ya haraka haraka mama yule ni kama ana uwezo wa kutumia nguvu za giza (kurog) kwani mara nyingi alitoa vitisho juu ya hilo, hii ilipelekea abiria wote kukaa kimya pasipo kuingilia ugomvi hata pale konda alivyokunjwa shati abiria waliishia kucheka tuu .
2. Mdada kunisukumia makalio yake makusudi
-Kuna siku nimepanda daladala nimesimama baada ya safari kidogo gari ikapakia tena abiria alikua ni mwanadada mrembo tuu na mwenye makalio ya wastani. Mara akasimama mbele yangu cha ajabu alikuwa akijitahidi sana kunibana na makalio yake licha ya mimi kuyakwepa mara kwa mara
Ewe mdau embu tupia visa vyako........................