Vituko vya madem

FBS90

Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
18
Reaction score
16
Wanajamvi habarini...
Kuna mwaka fulan yalinikuta sitosahau!!!
Ilikuwa jioni nitoka kijiji jirani kwa mshikaji wangu.
Wakati narudi home mida ya jioni kigizagiza ndo kinaanza, kwa mbali nikaona dem yu pekeake. Nikakaza pedo nimfikie, kweli nikamfikia. Nikazuga kumpita kidogo afu nikamwambia twende nikubebe.
Hakugoma akanikimbilia mpaka nilipokuwa.
Aiseee..!! Nilichokutana nacho nilivumilia kwa kuyataka mwenyewe.
Kumbe alikuwa mganga kienyeji.
Alikuwa kavaa matunguli ya kila aina.
Wakati nafikiria nifanyaje akaa tayari kwa safari, nikasikia sauti tu....... Twende!!!
Kumwambia ashuke nikashindwa , kwanza naanzaje wakati mi mwenyewe nimekaribisha lift??!
Nikakanyaga pedo. Safari..
Wakati tupo njiani nikamwona binadam wa kawaida tukapiga stories za hapa na pale.
Baadae nikakumbuka lengo la kumpa lift.
Nikaomba gem kwa ujasiri wa Hali juu. Likatiki
Nikapewa masharti.
√ Mpaka awepo pacha wake yaani kurwa wakati wa mgegedo, mhh!!?. Kumbe ni kibuyu kinachomwakilisha kurwa halisi.
√ Nimfwate kwenye kilinge chake cha uganga aombe mizimu yake ikikubali nambanjua.

Nikasema sawa. Mpaka leo sijamtafta.
Jaman aliyewahi kukutana vitimbi ktkt mapenzi au kutongoza tupeane uzoefu.
NAWASILISHA
 
Mimi nilikuwa naumwa, katika zunguka zunguka zangu Tz nikaoneshwa mganga wa kienyeji mdada mrembo kabisa! Nilishangaa kwanza kuona mganga bado mbichi kabisa!

Katika kunitibu akajiingiza kingi, sikupenda kumchomolea mapema ili tiba kwanza iendelee. Nikamwambia usiwaze, subiri nipone shida zangu. Akazidi kuwa hot kuwa amenipenda anapenda nimuoe awe mke wangu.

Nilipotoka kwake, sikurudi tena hadi kesho.
 
Rudi mkuu ili upate jibu kama mzimu na huyo pacha wake wameridhia,kisha uje utupe yaliyojiri
 
Mkuu,nakumbuka ulisema hii nikakuomba namba zake lakini hukunipatia,hebu nisaidie nami nikapate tiba
 
Mkuu,nakumbuka ulisema hii nikakuomba namba zake lakini hukunipatia,hebu nisaidie nami nikapate tiba
Sina namba kwa sasa maana ni muda mrefu sana.
Tokea 2017.
 
Ilikua mwaka huu mwezi wa3, jiji x nilienda hospital naumwa tumbo,, aseee huwezi amini baaada ya kwenda kwa doctor nilkutana na Doctor ni mrembo sijawahi ona, mpaka nkajikuta nasahu jina la ugonjwa nkawa mtu wa kushangaa shangaa pale nkajikuta namwambia nipimwe mkojo na damu[emoji58][emoji58][emoji58][emoji114] hapo ndo niliona kuwa wapo wanawake niwazuri mpaka wana boa, hakika mungu fundi,,, katika ulimwengu wa hisia na upendo mwanaume commando unakua boyatu
 
Wanaume kwa muoyo hii, kwa kweli tunaweza kwenda hata kwa shetani kumdai dhambi.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hukubandua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…