Mzee ugali ushaivya utaongeza maji na unga umeishamwana nmecheka hapaaa...dah! sasa si mngeongeza maji tu
Sent from my SM-J500FN using JamiiForums mobile app
ah ah ah hyo hatare...sisi kuna mwana alilewa pombe inaitwa boha( tanga huko) sisi tushapika tunasubiria wana watoke class tukipige...dah! akashuka dekan na pombe zale akaanza kukojoa kwa sufuria zilizokuwa maneno ya jiko...dah! kojo likafika kwenye mboga bhanaaa....hiko kichapo sidhan ka amesahau mpka leo...Mzee ugali ushaivya utaongeza maji na unga umeisha
This story for sure blow my mind!!!!.. alikuwa ni demu wa nani au alikuwa muuzaji tu..?? Au mlikorabo jini😂Asubui tukiamini katoto kanaweza kushindwa kutembea,Ila hatukuamini asubui akaamka akasafisha vyombo akalika na chai walaaaah nilikomaa
Nimecheka sana hapaSiku nyingine bana,wazee tusha pikaa ugali wachana upo chini,wanaume tunataka kulaa,msela mmoja alikuwa amelewa dah!si akakanyaga ugali
Demu aliletwaa na washikaji zetu wawili walio kuwa wanasoma mazingira ya home kwao.alfu kazuri kweliThis story for sure blow my mind!!!!.. alikuwa ni demu wa nani au alikuwa muuzaji tu..?? Au mlikorabo jini[emoji23]
Zoezi lilijirudia kwa siku nyengine..??
Mkuu duh! Mtu 9! Haha kweli konki hiyo..Demu aliletwaa na washikaji zetu wawili walio kuwa wanasoma mazingira ya home kwao.alfu kazuri kweli
Kwa wanaune wa ukanda wa pwani hata 12 demu anabeba mwambie ajichanganye aje kanda maalum.Mkuu duh! Mtu 9! Haha kweli konki hiyo..
Si wangekunywa uji sasamwana nmecheka hapaaa...dah! sasa si mngeongeza maji tu
Bangi haijawahi kuongopaMzee hili gheto mnaweza mkanunua mazagazagaa sokoni saa nne usiku Ila kulaa saa sita au saa Saba usiku.siku moja ikawa zamu yangu kupika ugali nishakulaa kushi za kutosa,jamaa wa mboga kashaivisha Sasa katika kupika ugali nikawa nataka kuongeza unga hamadi kulikua na kopo la chumvi mi sinika mimina chumvi kwenye ukagali Nika songa mpaka ukaivya bila kujua nimeweka chumvi,saa ya wanakulaa mamaaee ugali wote chumvi hahhaa na Ni usiku wa saa nanee.duh, siku hiyo ikabidi tule mbogaa tu
Hamna mtoto hapo mkubwa mwenzenu huyoAsubui tukiamini katoto kanaweza kushindwa kutembea,Ila hatukuamini asubui akaamka akasafisha vyombo akalika na chai walaaaah nilikomaa