Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Hivi ule ugonvi wa mke wa marehemu munuo na mchungaji qakogombea kanisa umeisha❕❕❔❔❓❓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ule ugonvi wa mke wa marehemu munuo na mchungaji qakogombea kanisa umeisha❕❕❔❔❓❓
Waligawanyika kwa mujibu wa wadau humu.Hivi ule ugonvi wa mke wa marehemu munuo na mchungaji qakogombea kanisa umeisha❕❕❔❔❓❓
[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]Hivi kwanini dini ya ukriso inachezewa Sana ? Lakini cha kusikitisha hao waumini wa kikiristo wanamuamini kila mchungaji anaejitikeza,wanajifanya wanapesa nyingi za kuwapa wachungaji ili wawe matajiri.Mchungaji anaweza leta papai akasema kaliombea na likagombaniwa kwa gaharama yoyote kisa mchungaji kaliombea.Wachungaji wanawaona wakristo kama vile hawana akili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nchi ngumu sana hiiCha ajabu ni kwamba kwa mwamposa waislam wamejaa kibao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuliko hata wakristu
Kuna siku nilinyoosha mkono kumuuliza mchungaji alipohubiri ujinga madhabahuni[emoji28][emoji28]Ha ha ha Siloam wana mambo ya ajabu sana. Ukijiunga unabadilishwa jina kwanza.
Ha ha ha mkuu ulimuwezaKuna siku nilinyoosha mkono kumuuliza mchungaji alipohubiri ujinga madhabahuni[emoji28][emoji28]
Siloam wapuuzi sana wana mahubiri ya kijinga sana tangu siku hiyo sikuenda tena kanisani kwaoHa ha ha mkuu ulimuweza
Ha ha ha walisema usiseme nabii wetu Eliya kafa, huyu kapumzika tu mungu huwa hafi. Wanakufuru mbaya sana kumfananisha nabii wao na MunguSiloam wapuuzi sana wana mahubiri ya kijinga sana tangu siku hiyo sikuenda tena kanisani kwao
Ndio mkuu wanavaa uniform nyeupe....Hao Siloam naskia wanavaa nguo nyeupe juu mpaka chini
Wale jamaa sijui ile confidence huwa wanaitoa wapi kutapeli watoto wa wenzao mchana kweupe.Na kuna watakaolizwa
Nakumbuka baada ya kufa kwa Elia...kanisa lake lilipata mgawanyiko...kuna aliyetaka kumuachia kanisa halafu familia ikakataa...naomba nijulishe jina lake lililopo nida huyu na yule aliyebaki pale MakondeHuyo kanisa lake lipo tegeta masaiti na wiki iliyopita ilikuwa ni zamu ya bodaboda kwa ajili ya kufuta ajali sijajua kama ilifanikiwa au laa na anapopita na msafara wake huyo mr anakuwa na magari 3 ya kifahari vx v8 ikiwa moja wapo na anatembea na king'ola hasimamishwi na yeyote yule barabarani na waumini wake ndio wale wanaovaa nguo nyeupe mwanzo walikuwa pale mbezi makonde ila sasa wamegawanyika ndio wengine wapo tegeta ila ninachompenda anawafundisha waumini wake mbinu za kusaka pesa ktk nyanja mbalimbali
Wale siyo wakristo labda ni wakristu...huwa siwaelewi na wala sijawai kueaelewa....Ha ha ha Siloam wana mambo ya ajabu sana. Ukijiunga unabadilishwa jina kwanza.
Huyo ni zaidi ya mganga wa kienyejiDa umenikumbusha jana nimepanda coaster kwenda ,karakoo Kapanda mama ...mmoja ndio agent wa mchungaji anajiita ,Mtabiri nyuki ...anadai wanasabuni ukiogea hizo madeni yote kwisha ,nyumba ya kupanga ww ndio utakuwa na sauti kuliko baba mwenye nyumba anaalika watu waende kuombewa
Ha ha ha dah tembea uoneHuyu mchungaji mkorofi kweli wakati mwingine Huwa ana tuwekeaga flash yeye anaenda zake kuangalia mechi.
Yupo Yule anaewajambia ushuzi Africa Kusini ,unalala analeta makalio usoni kwako anaachia ushuzi. Eti unaponyesha magonjwa.Tatizo wajinga ni wengi yani hata akija nabii wa kuwalisha watu kimba kwa ajili ya miujiza atapata wafuasi kibao.