Vituko vya makanisa ya Dar. Jionee mwenyewe

[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Cha ajabu ni kwamba kwa mwamposa waislam wamejaa kibao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuliko hata wakristu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nchi ngumu sana hii
 
Siloam wapuuzi sana wana mahubiri ya kijinga sana tangu siku hiyo sikuenda tena kanisani kwao
Ha ha ha walisema usiseme nabii wetu Eliya kafa, huyu kapumzika tu mungu huwa hafi. Wanakufuru mbaya sana kumfananisha nabii wao na Mungu
 
Na kuna watakaolizwa
Wale jamaa sijui ile confidence huwa wanaitoa wapi kutapeli watoto wa wenzao mchana kweupe.

Sasa hivi hata Watumishi wa Mungu wa kweli hawaaminiki, watu wanajua ni wale wale walioniuzia maji ya upako laki mbili.
 
Nakumbuka baada ya kufa kwa Elia...kanisa lake lilipata mgawanyiko...kuna aliyetaka kumuachia kanisa halafu familia ikakataa...naomba nijulishe jina lake lililopo nida huyu na yule aliyebaki pale Makonde
 
Da umenikumbusha jana nimepanda coaster kwenda ,karakoo Kapanda mama ...mmoja ndio agent wa mchungaji anajiita ,Mtabiri nyuki ...anadai wanasabuni ukiogea hizo madeni yote kwisha ,nyumba ya kupanga ww ndio utakuwa na sauti kuliko baba mwenye nyumba anaalika watu waende kuombewa
 
Huyo ni zaidi ya mganga wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…