Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Mamelodi sundowns ni timu yenye CV ya ajabu sana.

Imewai kutwaa kombe la africa mara moja mwaka 2016.

Na hiyo mara moja walitwaa kwa vituko vingi sana. Vinachekesha. Baada ya kushindwa uwanjani waliamua Mpira uchezwe na wanasheria wa mamelodi mahakamani

Mwaka huo 2016 mamelodi alishiriki mashindano yote makubwa ya africa. Yaani caf champions league na caf confederations cup maarufu kama shirikisho.

Cha kushangaza alitolewa kwenye mashindano yote mawili.

As vita alimtoa mamelodi kwenye champions league msimu wa mwaka 2016

Medeama ya ghana ikamtoa mamelodi kwenye kombe la shirikisho msimu wa mwaka 2016

Mamelodi akaenda mahakamani akafosi arudishwe mashindanoni. Kesi ikatolewa hukumu haraka haraka akarudishwa kwenye mashindano aliyoyachagua yeye. Maana champions league na shirikisho kote alikuwa ameshatolewa

Maana yote mawili alikuwa ametolewa.

Africa ina maajabu mengi

mwaka huu 2024 kwenye mechi na yanga kama Ingekuwa jana mamelodi ndio amekataliwa goli yeye. Na ametolewa Angeenda mahakamani fasta fasta na kesi ingesikilizwa fasta fasta baada ya hapo mamelodi angerudishwa mashindanoni nusu fainali.

KWA UFUPI MAMELODI NI TIMU JANJA JANJA SANA

IMG-20240406-WA0038.jpg


IMG-20240406-WA0039.jpg


Imagine team kwa mfano manchester united icheze uefa champions league halafu itolewe, kisha ipelekwe europa league na huko napo ikashindwa ikatolewa

halafu tena man utd baada ya kutolewa europa league arudishwe tena uefa champions league msimu huo huo kwa mara ya pili acheze tena bila qualification mpya halafu akabebe ubingwa in a same year

HII ULISIKIA WAPI ? ONLY MAMELODI SUNDOWNS
 
Alikata rufaa kwa hoja gani? Isijekuwa ni hoja ya wazi na ya msingi sana ndiyo maana hutaki kuitaja.

Simba ilimtoa Mazembe miaka ya 2011 hivi baada ya Simba kufungwa nje ndani.

Hoja ya Simba ni kuwa Mazembe walichezesha mchezaji asiyeruhusiwa kucheza Mazembe,aliyeitwa Bokungu. CAF ikakubali madai ya Simba,Simba akamtoa Mazembe.

Bokungu baadaye alikuja kucheza Simba.
 
Alikata rufaa kwa hoja gani? Isijekuwa ni hoja ya wazi na ya msingi sana ndiyo maana hutaki kuitaja.

Simba ilimtoa Mazembe miaka ya 2011 hivi baada ya Simba kufungwa nje ndani.

Hoja ya Simba ni kuwa Mazembe walichezesha mchezaji asiyeruhusiwa kucheza Mazembe,aliyeitwa Bokungu. CAF ikakubali madai ya Simba,Simba akamtoa Mazembe.

Bokungu baadaye alikuja kucheza Simba.

Mamelodi baada ya kutolewa kwenye shirikisho na Medeama aligundua fursa kwa ujanja ujanja

Mamelodi walienda mahakamani kulalamika kwamba Kwenye mechi ya hatua ya kwanza kati ya As Vita vs Mafunzo ya zanzibar. As vita ilimchezesha mchezaji akiwa hajamaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi 4.

Cha kushangaza badala ya mafunzo ya zanzibar kurudishwa mashindanoni. Maana ndiyo iliyoumizwa na huyo mchezaji kucheza.

Nafasi yake ya mafunzo kurudishwa akapewa Mamelodi maana ndie alieenda mahakamani
 
Mamelodi baada ya kutolewa kwenye shirikisho na Medeama aligundua fursa kwa ujanja ujanja

Mamelodi walienda mahakamani kulalamika kwamba Kwenye mechi ya hatua ya kwanza kati ya As Vita vs Mafunzo ya zanzibar. As vita ilimchezesha mchezaji akiwa hajamaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi 4.

Cha kushangaza badala ya mafunzo ya zanzibar kurudishwa mashindanoni. Maana ndiyo iliyoumizwa na huyo mchezaji kucheza.

Nafasi yake ya mafunzo kurudishwa akapewa Mamelodi maana ndie alieenda mahakamani
Unamaanisha nini unaposema cha kushangaza? Ni kinyume na Sheria?
 
Unamaanisha nini unaposema cha kushangaza? Ni kinyume na Sheria?

Cha kushangaza sababu aliyeumizwa na huyo ineligible player kucheza walikuwa ni mafunzo ya zanzibar.

Inakuwaje Victim awe mwingine na benefitial awe mwingine ?

Mafunzo zanzibar = victim

Mamelodi sundown = benefitial

Caf wangetaka fair kwenye kesi wangemrudisha mashindanoni mafunzo ya zanzibar

Mamelodi bila ujanja ujanja hatoboi
 
Unajua Sheria inasemaje kwenye mazingira hayo? Mafundi wanetolewa na As Vita asiye na haki hatua za Chini, Mamelodi ametolewa na As Asiye na Haki hatua ya juu. KWA hiyo ktk hali ya kawaida ilitakiwa Mamelodi na Mafunzo wakutanushwe?

Sasa sijajua Sheria inasemaje. Inatakiwa ugugo tena kama ulivyogugo ya AS Vita kutolewa.

Moja kati ya sofa ya Watu wasioamini uwepo wa Mungu au uchawi ni Watu wa kusoma sana kutafuta knowledge. Case study Kiranga.

KWA hiyo unapozungumzia jambo use umeshiba details sio kutoa lawama tu kumbe unawalaumu walikuwa sahihi kisheria au kiraratibu au KWA consideration kutokana na mazingira
 
Unajua Sheria inasemaje kwenye mazingira hayo? Mafundi wanetolewa na As Vita asiye na haki hatua za Chini, Mamelodi ametolewa na As Asiye na Haki hatua ya juu. KWA hiyo ktk hali ya kawaida ilitakiwa Mamelodi na Mafunzo wakutanushwe?

Sasa sijajua Sheria inasemaje. Inatakiwa ugugo tena kama ulivyogugo ya AS Vita kutolewa.

Moja kati ya sofa ya Watu wasioamini uwepo wa Mungu au uchawi ni Watu wa kusoma sana kutafuta knowledge. Case study Kiranga.

KWA hiyo unapozungumzia jambo use umeshiba details sio kutoa lawama tu kumbe unawalaumu walikuwa sahihi kisheria au kiraratibu au KWA consideration kutokana na mazingira


Mamelodi baada ya kutolewa champions league alishapelekwa shirikisho kama sheria ya caf inavyotaka, na huko shirikisho akaenda akatolewa na Medeama.

Kwa hoja yako. Medeama na yeye ana haki.

Mamelodi ana ujanja ujanja sana
 
Watu wanaopinga uwepo wa Mungu na uchawi wanna upeo mkubwa sana,wanasoma sana.
Mamelodi baada ya kutolewa champions league alishapelekwa shirikisho kama sheria ya caf inavyotaka, na huko shirikisho akaenda akatolewa na Medeama.

Kwa hoja yako. Medeama na yeye ana haki.

Mamelodi ana ujanja ujanja sana
 
Mamelodi baada ya kutolewa kwenye shirikisho na Medeama aligundua fursa kwa ujanja ujanja

Mamelodi walienda mahakamani kulalamika kwamba Kwenye mechi ya hatua ya kwanza kati ya As Vita vs Mafunzo ya zanzibar. As vita ilimchezesha mchezaji akiwa hajamaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi 4.

Cha kushangaza badala ya mafunzo ya zanzibar kurudishwa mashindanoni. Maana ndiyo iliyoumizwa na huyo mchezaji kucheza.

Nafasi yake ya mafunzo kurudishwa akapewa Mamelodi maana ndie alieenda mahakamani
Story za Abunuwasi, Idrissa Traore wa AS Vita ambaye alilamikiwa alicheza katika mechi ambayo Mamelodi walitolewa.
 
Unajua Sheria inasemaje kwenye mazingira hayo? Mafundi wanetolewa na As Vita asiye na haki hatua za Chini, Mamelodi ametolewa na As Asiye na Haki hatua ya juu. KWA hiyo ktk hali ya kawaida ilitakiwa Mamelodi na Mafunzo wakutanushwe?

Sasa sijajua Sheria inasemaje. Inatakiwa ugugo tena kama ulivyogugo ya AS Vita kutolewa.

Moja kati ya sofa ya Watu wasioamini uwepo wa Mungu au uchawi ni Watu wa kusoma sana kutafuta knowledge. Case study Kiranga.

KWA hiyo unapozungumzia jambo use umeshiba details sio kutoa lawama tu kumbe unawalaumu walikuwa sahihi kisheria au kiraratibu au KWA consideration kutokana na mazingira
Una akili fupi mno kwahiyo kinachosababisha mtu kuwa na dini ni kwasababu hajasoma? Kwahiyo inamaana watu wote duniani wanaoamini katika dini ni kwamba kiranga kawazidi kusoma? Usichukulie kila unachokiona humu tena kutoka kwa watu ambao haujawahi kuwaona zaidi ya kusoma tu walichokiandika kuwa ni kweli....usikute muda huu kiranga anajiandaa yeye na wanae wakawahi ibada ya asubuhi
 
Wananchi walikua wanasema role model wao ni Mamelodi. Je, bado ni role model wenu?
 
Back
Top Bottom