Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

Story za Abunuwasi, Idrissa Traore wa AS Vita ambaye alilamikiwa alicheza katika mechi ambayo Mamelodi walitolewa.

Alicheza mechi na mamelodi akiwa eligible player. Traore alifungiwa mechi 4 na hizo mechi alifungiwa toka msimu uliopita akiwa na club ya Mali.

Mechi na mamelodi aliicheza akiwa ameshamaliza adhabu ya mechi zake zote.

Mechi yake na mafunzo ya zanzibar ilivyogundulika alicheza ndio sababu kuu ya As vita kutolewa mashindanoni
 
Mamelodi baada ya kutolewa kwenye shirikisho na Medeama aligundua fursa kwa ujanja ujanja

Mamelodi walienda mahakamani kulalamika kwamba Kwenye mechi ya hatua ya kwanza kati ya As Vita vs Mafunzo ya zanzibar. As vita ilimchezesha mchezaji akiwa hajamaliza adhabu yake ya kufungiwa mechi 4.

Cha kushangaza badala ya mafunzo ya zanzibar kurudishwa mashindanoni. Maana ndiyo iliyoumizwa na huyo mchezaji kucheza.

Nafasi yake ya mafunzo kurudishwa akapewa Mamelodi maana ndie alieenda mahakamani
Aiseeeee hii mpya Kumbe kuna uwezekano mkubwa hawa masandawana baada ya kuona gemu ya Dar ilikuwa ngumu Mpira ulishachezwa nje tayari huko pretoria ilibaki kumalizia tu siku ya mechi .
 
Timu ya boss wa CAF kawaambia nendeni tu mkate rufaa kazi iliyobaki niachieni mimi 😄😄😄
 
Aiseeeee hii mpya Kumbe kuna uwezekano mkubwa hawa masandawana baada ya kuona gemu ya Dar ilikuwa ngumu Mpira ulishachezwa nje tayari huko pretoria ilibaki kumalizia tu siku ya mechi .

Masandawana mbeleko hajaanza leo.
 
Back
Top Bottom