Vituko vya mamelodi mwaka 2016 alitolewa Champions league kisha akaenda akatolewa kombe la shirikisho. Maajabu akatwaa ubingwa wa champions league

Story za Abunuwasi, Idrissa Traore wa AS Vita ambaye alilamikiwa alicheza katika mechi ambayo Mamelodi walitolewa.

Alicheza mechi na mamelodi akiwa eligible player. Traore alifungiwa mechi 4 na hizo mechi alifungiwa toka msimu uliopita akiwa na club ya Mali.

Mechi na mamelodi aliicheza akiwa ameshamaliza adhabu ya mechi zake zote.

Mechi yake na mafunzo ya zanzibar ilivyogundulika alicheza ndio sababu kuu ya As vita kutolewa mashindanoni
 
Aiseeeee hii mpya Kumbe kuna uwezekano mkubwa hawa masandawana baada ya kuona gemu ya Dar ilikuwa ngumu Mpira ulishachezwa nje tayari huko pretoria ilibaki kumalizia tu siku ya mechi .
 
Timu ya boss wa CAF kawaambia nendeni tu mkate rufaa kazi iliyobaki niachieni mimi πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Aiseeeee hii mpya Kumbe kuna uwezekano mkubwa hawa masandawana baada ya kuona gemu ya Dar ilikuwa ngumu Mpira ulishachezwa nje tayari huko pretoria ilibaki kumalizia tu siku ya mechi .

Masandawana mbeleko hajaanza leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…