Vituko vya mochwari

Mshana, I respect you much brother but this is not fair, [emoji21] no health personal who is allowed kutoa izo siri ikiwa za patient, client au hata deadbody, don't act like a kid brother u are grown up enough, don't do this please...[emoji120]
Duh hii lugha ya malkia ni shida.
 
najua we na haya madude hapana..nlikua nakuita nkutishe tu[emoji23] [emoji85]
Kwakweli umefanikiwa. Huyu mpare mjinga sana. Mi ntamblock very soon. Mambo gani haya ya kutishana kipindi cha kwaresma?

Mi na maiti ni sawa na shehe na kitimoto.
 
Hahahahaha sasa mpenda ngono nae anakufa uku kasimamisha akikutana na Malaya si anaweza lianzisha libeneke
 
Bora umerudi mshanajr na story zetu ili tuwapotezee uncle magu Hamorapa na lipumba wanatuchosha na vituko vyao vya kila siku
Ha ha ha kuna watu wana zali la hatari. Yaani mie nilikuwa sijawahi kumuuona hamorapa, kuambatana na Nape kumempaisha chati hadi na mm nimemjua
 
Kuna zile za wale waliozoea kusuta na kuzodoa wakifa maiti zao utakuta zimebetua midomo. Nishawahi kuona mimi......
mkuu mshana kuna malalamiko kutoka kwa marehemu kuwa mnawapigaga sana miti. tupe ufafanuzi kwa mashtaka haya dhidi yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…