Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingelalaika sana ungeikanyagaSasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
mtu akijigonga kwenye kitu utadondoka vibaya sana sema utakuwa husikii
Mbavu zangu eehHuyo atakuwa ameingia site ambayo si yake, hivyo trafiki atafika kupima ajali na uchakavu utakaokuwa umesababishwa na impact then bima ihusike!
Sorry brother, I wish one day tuonane LIVE, Nakumbukaa kuna ushauri ulinisaidi 2015 nilivyokuwa abroadObsessed maybe [emoji25] nimeishi sana na wafu ndugu yangu
Daaah, no wonder[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nimehudumu mochwari miezi 18
At the beginning it was not that much easy kakaDaaah, no wonder[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hii thread imefanya nikaingia youtube kucheki video za post mortem, damn damn!! Una roho ngumu kiongozi!!!