Vituko vya mochwari

Vituko vya mochwari

Sasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
Ingelalaika sana ungeikanyaga
 
Mshana mbona unapenda sana habai za maiti, kufa, peoponi? Please tell us thee secreat behind?
 
Mshana mbona unapenda sana habai za maiti, kufa, peoponi? Please tell us thee secreat behind?
Obsessed maybe [emoji25] nimeishi sana na wafu ndugu yangu
 
Mmhh ngoja niachane na huu Uzi nisije nikaota usiku bureee
 
mshana jr, hizo sio illusions kweli??

Anyway, siku niliyoinga mochwari kutambua maiti, kidogo nitoe mikojo. Pale mahali ni pagumu, panatisha na kuogofya. Sijui wale attendants wana roho za namna gani.!!!
 
Nimehudumu mochwari miezi 18
Daaah, no wonder[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Hii thread imefanya nikaingia youtube kucheki video za post mortem, damn damn!! Una roho ngumu kiongozi!!!
 
Bimeshuhudia mzee pale mochwari kaweka mapapai kwenye yale majokofu tena mapapai mengine kayala nusu,alinipa kipate nikatoka nduki
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daaah, no wonder[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Hii thread imefanya nikaingia youtube kucheki video za post mortem, damn damn!! Una roho ngumu kiongozi!!!
At the beginning it was not that much easy kaka
 
41sBdXOLymL._AC_UL320_SR248%2C320_.jpg
 
Back
Top Bottom