Vituko vya mochwari

Vituko vya mochwari

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji14][emoji14][emoji14][emoji86][emoji86][emoji23]
IMG-20190906-WA0156.jpeg
 
Kwa Mchana haitishi ila usiku inatisha hasa zile picha za maiti.. hata angekuwa Kiduku Lilo angeogopa kwa eneo naloiishi ni nje ya mji huku bado wanazikia nyumbani ,sasa kwa ile jana angeogopa tu.
[emoji848][emoji12][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Napata tabu kuwaelewa wale wanaosoma stori tu na kutishika au wanaoshindwa hata kuangalia movie za kutisha, hadi wengine wanaogopa kupita maeneo ya makaburini usiku binafsi woga huo sina hadi usiku mi popote natimba ila hofu yangu nisikutane na mtu mwenye silaha kama vile bastola, bunduki au visu.
 
Napata tabu kuwaelewa wale wanaosoma stori tu na kutishika au wanaoshindwa hata kuangalia movie za kutisha, hadi wengine wanaogopa kupita maeneo ya makaburini usiku binafsi woga huo sina hadi usiku mi popote natimba ila hofu yangu nisikutane na mtu mwenye silaha kama vile bastola, bunduki au visu.
Huu ndio ubaharia wenyewe sasa
 
Na uzee huu ila nimeogopa.

Mshana Jr ile tabia yako ya kubaka maiti umeacha?

Heri nikifa nizikwe siku iyo hiyo.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji125][emoji125][emoji87][emoji87][emoji87][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom