teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
Kama ni kweli mochwari kuna vioja sana[emoji1] [emoji1][emoji15] [emoji3] vipande vya sabuni hupotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli mochwari kuna vioja sana[emoji1] [emoji1][emoji15] [emoji3] vipande vya sabuni hupotea
Utalalaje peke yako mrembo kama wewe?nyinyi naomba huu uzi muufunge kwa dharula hadi itapofika asubuhi ndo uendelee kuchagiwa.
mtuhurumie wenye roho nyepesi tunaolala peke yetu
AaiisehJamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile
Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu... [emoji87] [emoji85] ,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ?[emoji35] [emoji35] [emoji35] na nani?
Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba....
Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi..
Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu huyu itakua aliamua kuondoka na utamu wake maana ana ng'ata lips araf naona kama mikono ipo kwenye zakali.
[emoji2] [emoji2]Alafu nyie wapuuzi mnaotuma picha za maiti mjue mnanitisha!! pumbafff sana
Yaah believe me one day u will reach there[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe mochwari ndo pako hivi, duh! NOT A PLACE TO BE WHEN ALIVE!
Those are illusions brought about by fear of the dead. Utaona , utahisi unaona (kumbe siyo real) mambo uliyoyatajaJamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile
Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu... [emoji87] [emoji85] ,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ?[emoji35] [emoji35] [emoji35] na nani?
Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba....
Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi..
Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui
![]()
[emoji2] [emoji23] sasa mkuu ivo vipande wananywea chai au[emoji15] [emoji3] vipande vya sabuni hupotea
Kaka ukifanya kazi huko kweli unakuwa sawa katika maisha ya kwaida?Ndio
Nini kiliwakuta kablaKuna spirits nyingi sana zinatembelea mochwari.
Nina jamaa zangu watatu ambao walikuwa announced died na waliingizwa muchwari but baada ya masaa kadhaa walizinduka na kurudishwa wodini.
Wana sema hawawezi kusahau hiyo siku
Kufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi hukoKaka ukifanya kazi huko kweli unakuwa sawa katika maisha ya kwaida?
nfanyeje sasaUtalalaje peke yako mrembo kama wewe?