Vituko vya mochwari

Aaiiseh
 
Those are illusions brought about by fear of the dead. Utaona , utahisi unaona (kumbe siyo real) mambo uliyoyataja
 
Kuna spirits nyingi sana zinatembelea mochwari.

Nina jamaa zangu watatu ambao walikuwa announced died na waliingizwa muchwari but baada ya masaa kadhaa walizinduka na kurudishwa wodini.

Wana sema hawawezi kusahau hiyo siku
Nini kiliwakuta kabla
 
Kaka ukifanya kazi huko kweli unakuwa sawa katika maisha ya kwaida?
Kufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi huko
Kila siku alikuwa ananiambia daaaaah ile kazi bila kuvuta mmea uwezi piga
Kuna maiti zinaletwa pale zaajabu
-zingine eti zinaamka zinafanya mazoezi zikimaliza zinakufa tena
-zingine ukiziangalia sana zinaamka zinakuuliza unamuangalia nani zingine zinakukonyeza
-zingine zilikuwa zinamuomba adi simu ziwapigie ndugu zao we acha tu

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nawaza kwa sauti.. nje ya mochware tuna VVIP, VIP, VI ME..... kwingine tumeongeza neno mzunguko..... KULE SAME PEOPLE SAME CLASS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…