Vituko vya mochwari

Habari yako huwa haijitoshelezi,haina y a ma, siikubali
 
Hahahahaha lol! Nimecheka kama mazuri. Sikutaka kuifungua hii thread lakini nikasema nichungulie haraka haraka. Mie na baadhi ya threads za mshana jr mbali mbali kabisa! Huwa nazipita kwa mbaaaaali!

CC: Honey Faith
Nawe muoga?
 
Chai kavu hiiii
 
Hata kwa pesa siendiiii,,niliwah simama mlangoni kwa nje nikaona kwa mbali zimepangwa wewe nilisisimkaaa mwili wote hadi jikataka kuangukaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…