Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Bandia je?Mimi [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandia je?Mimi [emoji3]
kuna tofauti mtani kwani?Kuliko Kuwa mfu?
[emoji15] [emoji15][emoji3] [emoji3] [emoji3]
kumbe naogopa kuwa mfu mochwari wanakusagura sagura duh nisije nikaomba hela muhudumu ha ahaMaiti yaweza kuwa hata mnyama ila mfu ni binadamu
Papuchi yako itakuwa haina thamani tena[emoji85] [emoji85] [emoji85] inakuuma etii..hahaha hakuna namna.naogopa kuwa maiti
Hata kwa pesa siendiiii,,niliwah simama mlangoni kwa nje nikaona kwa mbali zimepangwa wewe nilisisimkaaa mwili wote hadi jikataka kuangukaa[emoji15] [emoji3] weekend twende nukuchukue ziara
Nawe muoga?Hahahahaha lol! Nimecheka kama mazuri. Sikutaka kuifungua hii thread lakini nikasema nichungulie haraka haraka. Mie na baadhi ya threads za mshana jr mbali mbali kabisa! Huwa nazipita kwa mbaaaaali!
CC: Honey Faith
Chai kavu hiiiiKufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi huko
Kila siku alikuwa ananiambia daaaaah ile kazi bila kuvuta mmea uwezi piga
Kuna maiti zinaletwa pale zaajabu
-zingine eti zinaamka zinafanya mazoezi zikimaliza zinakufa tena
-zingine ukiziangalia sana zinaamka zinakuuliza unamuangalia nani zingine zinakukonyeza
-zingine zilikuwa zinamuomba adi simu ziwapigie ndugu zao we acha tu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]