Hahaha halafu nawaza baada ya huyo dada kuambiwa upo humu anaamua kujiunga na kuanza kuchati na wewe kwenye uzi huku anakutaja kwa jina.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] avatar mbali castr
Ahahha hawezi kuwa na pics zangu mm pics zangu wanazo rafiki zangu ambao tumeanza darasa moja mpaka tunamaliza nipo nao tulikua wa3 tu tulikua zaidi ya nduguHahaha halafu nawaza baada ya huyo dada kuambiwa upo humu anaamua kujiunga na kuanza kuchati na wewe kwenye uzi huku anakutaja kwa jina.
Naomba atume na picha tu enzi uko shule
Dah napapenda sana Mwananyamala,Mwananyama kwa utemi sasa kila kona kuna Gym, kuanzia vijana, komakoma, A, kisiwani kwa kidile...mirembe gym(hapa kuna gudu, dole) kwa mwalami gym( salum kiwiku) one nil gym( obede ngumu jiwe) bwawani huku kwa stevn nyerere (manchester gym shafii mashetani, albeto)...utemi utemi tu ktk mechi za mchangani LIGI ZA MBUZI game inapigwa pekupeku hio na wanaocheza ni baba flani watu wazima kabisa ndio alipotokea KANIKI huwa game aimaliziki lazima kiwake tu
Na ujanja mwingi wa dar pia unaanzia MwananyamalaMwananyamala ni sehemu ya vipaji hata strip dancers wa mwanzo walitoka mwananyamala
Mzeewanakaba akhera
TOT, Twanga Pepeta, Akudo Impact, haf wasanii wengi nawaonaga MwananyamalaMwananyamala ni sehemu ya vipaji hata strip dancers wa mwanzo walitoka mwananyamala
mkuu nshana huyo jamaa wa kufoj anafanya kwa bei gani nataka nizamie LaosPembe ni wa Mwananyamala karibu na Tiger morroco ilikuwa ni mishe
Kuna mwaka alikuja siti binti kasiri yule mkenya aliyekuwa anaigiza ktk igizo la TAUSI unakumbuka wanafunzi wa B tulikwenda ktk ile nyumba mpaka ukuta wa ile nyumba ukadondoka..maeneo mwanymala kule kuna sehem inaitwa magodoro[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan kwa mtu anayewajua hao lazima tu atanijua
daaaaah nilipita na wife mkuu tulikuwa tunanya mazoezi ya miguu hahahaha mi sio mdau wa hao watu bwanabei gani siku hizi?
Hivi mkuu Tito ndo aliuliwa maeneo ya Garden kuleVibaka wezi hawa maarufu hawatakaa watokee tena.. Nina historia nao.. Mjushi anawafahamu vema kila mmoja kwa sekta yake
Morroco
Kumbwiga
Tito
Jumanne
Pembe
Walinitengeneza nami nikawatengeneza ngoma draw... Tukaenda sawa.. Sasa hivi wanakula bata akhera
Saw a mkuu ntaenda
Jagwa watoto wa MwananyamalaUsisahahu mchiriku au mnanda wa hapa na pale hasa wanapotoka kuoa au kuolewa bagamoyo na kisarawe...yaani kigoma kinalia usiku kucha!
Mkiwa yule chizi kwao ujiji ?Machizi wa mwanyamala ninao wakumbuka ni Chege, kasheshe, mlokozi, saa mbili kamili(huyu ukitaja mda wa saa tu utakaoishia na kamili mbele yake unae) mkiwa ( wahuni wamemzalisha zaid ya mara mbili)