Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] avatar mbali castr
Hahaha halafu nawaza baada ya huyo dada kuambiwa upo humu anaamua kujiunga na kuanza kuchati na wewe kwenye uzi huku anakutaja kwa jina.

Naomba atume na picha tu enzi uko shule
 
Hahaha halafu nawaza baada ya huyo dada kuambiwa upo humu anaamua kujiunga na kuanza kuchati na wewe kwenye uzi huku anakutaja kwa jina.

Naomba atume na picha tu enzi uko shule
Ahahha hawezi kuwa na pics zangu mm pics zangu wanazo rafiki zangu ambao tumeanza darasa moja mpaka tunamaliza nipo nao tulikua wa3 tu tulikua zaidi ya ndugu
 
Mwananyama kwa utemi sasa kila kona kuna Gym, kuanzia vijana, komakoma, A, kisiwani kwa kidile...mirembe gym(hapa kuna gudu, dole) kwa mwalami gym( salum kiwiku) one nil gym( obede ngumu jiwe) bwawani huku kwa stevn nyerere (manchester gym shafii mashetani, albeto)...utemi utemi tu ktk mechi za mchangani LIGI ZA MBUZI game inapigwa pekupeku hio na wanaocheza ni baba flani watu wazima kabisa ndio alipotokea KANIKI huwa game aimaliziki lazima kiwake tu
Dah napapenda sana Mwananyamala,
 
Machizi wa mwanyamala ninao wakumbuka ni Chege, kasheshe, mlokozi, saa mbili kamili(huyu ukitaja mda wa saa tu utakaoishia na kamili mbele yake unae) mkiwa ( wahuni wamemzalisha zaid ya mara mbili)
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan kwa mtu anayewajua hao lazima tu atanijua
Kuna mwaka alikuja siti binti kasiri yule mkenya aliyekuwa anaigiza ktk igizo la TAUSI unakumbuka wanafunzi wa B tulikwenda ktk ile nyumba mpaka ukuta wa ile nyumba ukadondoka..maeneo mwanymala kule kuna sehem inaitwa magodoro
 
Vibaka wezi hawa maarufu hawatakaa watokee tena.. Nina historia nao.. Mjushi anawafahamu vema kila mmoja kwa sekta yake
Morroco
Kumbwiga
Tito
Jumanne
Pembe
Walinitengeneza nami nikawatengeneza ngoma draw... Tukaenda sawa.. Sasa hivi wanakula bata akhera
Hivi mkuu Tito ndo aliuliwa maeneo ya Garden kule
 
Back
Top Bottom