young arrogant
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 267
- 439
Mzee uko vizuri..Iko mwishoni kabisa mwa soko kuna uchochoro mtu akipita hapo hajulikani anaenda gesti au anataka kutokea upande wa pili... Nyingine ilikuwa pale Barabarani kabisa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] gesti hadi gesti... Chumba hadi chumba... Vitanda na magodoro yake mito na rangi za mashuka.. Mataulo je? Sabuni vichelema na ndala za rangi mbili tofauti zote zimetiwa pancha mbele ya V.... KWICHI KWICHI hatari [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee uko vizuri..
Salute kwako..
Mtaa kwa mtaa....
[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3] [emoji3] [emoji3] gesti hadi gesti... Chumba hadi chumba... Vitanda na magodoro yake mito na rangi za mashuka.. Mataulo je? Sabuni vichelema na ndala za rangi mbili tofauti zote zimetiwa pancha mbele ya V.... KWICHI KWICHI hatari [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo hayo wanafanyia washamba wenzao mkuu sie tuna Run Dar kitambo issue izo tumefanya shule ya kumbukmbu kikosi cha mizinga..hao mabwege tunawajua kwa vizazi vyao..mwananyamala na mikocheni, makumbusho ni majirani wao wameajiriwa tu sie tumezaliwa ktk maisha hayo yakutishiana nissannissan saba
Bosso kinyei RIPUmekumbusha mbali
Jimmy aka Jimmy Master..
Bojo..
Bosso Kinyei
Mlela
Sweya Mwenda..
Hahahahahaaaaa...
Wewe kijana hatari sanaa...
Acha bwana...Bosso kinyei RIP
Shafii mazoezi kaacha askari walivamia gym wakaondoka na vifaa vyote.Mwananyama kwa utemi sasa kila kona kuna Gym, kuanzia vijana, komakoma, A, kisiwani kwa kidile...mirembe gym(hapa kuna gudu, dole) kwa mwalami gym( salum kiwiku) one nil gym( obede ngumu jiwe) bwawani huku kwa stevn nyerere (manchester gym shafii mashetani, albeto)...utemi utemi tu ktk mechi za mchangani LIGI ZA MBUZI game inapigwa pekupeku hio na wanaocheza ni baba flani watu wazima kabisa ndio alipotokea KANIKI huwa game aimaliziki lazima kiwake tu
Gomigo hahahahahaha jamaa alikuwaga muhuni dah ila sasa hivi ni baba wa familia gomigo mitumba classicHao wote mi kaka zangu pia wa kitaa. Migomigo ana nyumba kisiwa ila amefungua shule ya chekechea kwenye hiyo nyumba.
mshana juzi tulivyokuwa kibaha tulimuongelea huyu hatukujua km kashavuta kumbeInterview inaendelea mzee concord kafariki kwa wale wanaomjua
shunie kumbe mtoto wa mwananyama enzi ya NDEKA nakupa list lazima hawa maticha lazima uwafahamuMe nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaa
Hahaha mzaramo huyo alikua pisi sanaKombe la Dunia Mwaka 199O
Mwananyamala nzima..
TV tulikuwa tunaangalia kwa Mzee Tabu Jumanne Mangala..
alikuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza...
Lazima Uoge ndo uingie ukacheki Game ndani
Tena TV ilikuwa inawekwa nje uani.....
Kitambo mkuu...khamis nae obede ngumi jiwe (one nil gym) RIP na kibode(mlevi) RIPAcha bwana...
Sure..!?
[emoji23] [emoji119] [emoji23] hatukujua kumbe tulikuwa tunamsema marehemu... Mzee alikuwa mtata sana yulemshana juzi tulivyokuwa kibaha tulimuongelea huyu hatukujua km kashavuta kumbe
gari yake anaipiga service mwenyewe kaipaki kibaraxani kwake anaipiga jeki na ovaroli anazamchini
ana mikogo balaa
shunie kumbe mtoto wa mwananyama enzi ya NDEKA nakupa list lazima hawa maticha lazima uwafahamu
NDAGO la kwanza darasa lake lipo juu mlango unaangalia unaangalia geti la shure chumba cha kwanza njia ya kwenda assemble upande wa msikitini Huyu ticha kawafundisha wadangaji na wezi wote wa mwananyamala
MWAMBOLA akiwa zamu ukinunua askrimu anakuachia upite ila anagonga fimbo balaa
MANYANGA kazi yake kutongoza wanafunzi
MWANACHIA anapiga balaa
MBOGOLO mguu mbovu huyu ticha hakuna muhuni wa mwananyamala asomjua
getini enzi tunasoma alikuwa mlizi wa kimasai LAZARO mwalimu mkuu mwakatobe
enzi niliosoma MWANANYAMALA B choo kilibomoka tukawa tunarudi saa nne mpk kilipojengwa choo kingine bila kumsahauTicha MALIPURA wa la SABA kujinadi anao mtihani na majibu ya mtihani wa la saba taifa
vipi la saba la Ticha MADANDI ulikuwepo mkali wa MATH kipindi hicho tunapiga tuiton kwa Ticha maiko Ujiji Tumegawanywa kwa DALASA la A ndo wenye AKILI ukiwa F au E we kilaza wa kutupwa
itakuwa umekula sana miogo ya MZEE MSIBA na ndizi za MAMA ABDALAH canteen pale ha ha ha [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
2012 nimetoka huko mkuu' dah zomba start? God mpepeShafii mazoezi kaacha askari walivamia gym wakaondoka na vifaa vyote.
Ila kama haujahama huku updates zao utakua nazo
Unammaanisha Kibode Idd anatembea huku anafreestyle?Kitambo mkuu...khamis nae obede ngumi jiwe (one nil gym) RIP na kibode(mlevi) RIP
sio dhani ila MAMA MKAMBA wa royal alikuwa TV anayo tayari hata marehemu MZEE mtambo wa wa kwa mama zakalia TV alikuwa nayo piaKombe la Dunia Mwaka 199O
Mwananyamala nzima..
TV tulikuwa tunaangalia kwa Mzee Tabu Jumanne Mangala..
alikuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza...
Lazima Uoge ndo uingie ukacheki Game ndani
Tena TV ilikuwa inawekwa nje uani.....
DuuhKitambo mkuu...khamis nae obede ngumi jiwe (one nil gym) RIP na kibode(mlevi) RIP
Gudu karudi.2012 nimetoka huko mkuu' dah zomba start? God mpepe