Aseeee walimu wote nawajua mwalimu ndago msambaa mwenzangu jaman mwalimu mpogolo some body kimwana na mwalimu mwanachia sasa mbona umemsahau mwalimu wetu wa darasa kutoka darasa la mwalimu ndago linalofatia jina limenitoka darasa la pili alikua anatuuzisha ice cream za ukwsju ukiwahi anakupa dell uhangaike nalo mkononi daaah umenikumbusha mmasai lazaro yaan tulilua tunamsumbua alikua mnoko vipiiii unawakumbuka dotto na kulwa wale mapacha walikuwa darasa la juu walitupita kama madarasa matatu walikua wana fujo na wakorofi shule nzima wakifanya fujo nyuma kule uwanja wa mpira shule inafungwa