Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Shoga albino alikuwepo mwanyamala very smart pale kamanyola bar...ibrahm kipofu anatembea mwendo mrefu pembezoni mwa road bila ya kuguswa na gari wala baiskel kufata madada poa kwa wahaya..kuna kinunga nae albino huyu alikuwa anacheza mpira balaa
Huyu shoga albino alikuja kuwa muhudumu wa gest pale kamanyola watu wakawa wanajipigia usiku,dah kuna mengi sana mengine tuyaache maana dah
 
Kweli jamaa alikuwa bangi, kwa sasa yuko wapi
 

wale washkjai ilikuwa noma ikitokea Mtemi mwingne wanataka wapigane nae saa ya kutoka mnazunguka nyuma kule uwanjani shule nzima tunaamia uwanjani kuangalia NGUMI kipindi hicho geti lilikuwa linatumika la mbele pekee lile linaloangalia njia ya kwenda ujiji
ticha mpogolo dah
huyu ticha anaeuza asklimu namkumbuka vizuri tuu ila nimemsahau jina ila sitamsahau sitamsamehe
au shunie ndo ulikuwa wewe nini umeachiwa dell siku hiyo nimekupa 50 halafu chenji yangu sh 40 ukadai umenirudishia wakt ujanipa si ndo akatokea huyu ticha akauliza una shaidi nikasema ndiyo akaja rafiki yangu akasema ndio hajampa chenji yake aisee basi bi dada ukakataa ukidai umenipa aisee tulichezea viboko balaa sitaisahau hiyo siku mpk wanafunzi wenzangu wakashauru nikamsemehe kwa mwalimu mkuu anauza asklim shule wkt ilikatazwa mwalinu kufanya biashara yaan walituonea huruma sana mm na shaidi wangu

nakumbuka ilikuwa standad 4 hiyo yale madarasa ya pembeni vidirisha vidogo viko juu upande wa uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…