He he huyohuyo basi kama unamjua farashuu na me unanijua sanaaa mana hilo ndio lilikua group languHahahahahaha dah jf raha sana uliowataja wote nawajua hyo farashuu alikuwa anakaa pale ujiji mtoto wa kipemba yule white paper hahahahahahahahaa
Itakuwa ya nyauBalaa.
Sasa hivi kuna msambaa anapika supu hapo opposite na royal.
Kila asubuhi lazima nipate supu hapo
Jaman mkiwa chizi hivi yupoooHuyu mkiwa dah huruma sana washkaj walikuwa wanajipigia sana kule magengeni mapinduzi
Huyu shoga albino alikuja kuwa muhudumu wa gest pale kamanyola watu wakawa wanajipigia usiku,dah kuna mengi sana mengine tuyaache maana dahShoga albino alikuwepo mwanyamala very smart pale kamanyola bar...ibrahm kipofu anatembea mwendo mrefu pembezoni mwa road bila ya kuguswa na gari wala baiskel kufata madada poa kwa wahaya..kuna kinunga nae albino huyu alikuwa anacheza mpira balaa
Ipo mpaka leo hiyo.Iko mwishoni kabisa mwa soko kuna uchochoro mtu akipita hapo hajulikani anaenda gesti au anataka kutokea upande wa pili... Nyingine ilikuwa pale Barabarani kabisa
ShunieJaman mkiwa chizi hivi yupooo
Kweli jamaa alikuwa bangi, kwa sasa yuko wapiMtaa wa Kwa kutoka Tiger kulikuwa na nyumba moja ya mama mzungu ana wanae wawili wa kizungu... Mmoja bangi bangi kweli...
Huyu mama mzungu akaugua akapelekwa Nairobi akalazwa huko akafariki
Huyu mwanae bangi akaweka msiba kisha akapiga moto na pajero lake intercooler mpaka Nairobi...
Siku ya pili usiku anaingia kutoka Nairobi na maiti ya mamaake kaipiga belt seat ya nyuma... Mwili ulikuwa umeshaanza kuharibika... Alisafiri na maiti peke yake toka Nairobi mpaka Mwananyamala
Kanyoa rasta kaoa ana familiaGomigo kaka etu na dred zake mrefu
Abeeh shikamooShunie
Aiseee kweli maisha yanabadirikaKanyoa rasta kaoa ana familia
My heart is pumping 🙂Abeeh shikamoo
MhMy heart is pumping 🙂
Mkuu wew ni wa mwananyamala?? Unajua kanuni ukitaka demu wa mwananyamala? Wandewa(makaka) umetuona au unataka tukuthaminishe?My heart is pumping 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mieMkuu wew ni wa mwananyamala?? Unajua kanuni ukitaka demu wa mwananyamala? Wandewa(makaka) umetuona au unataka tukuthaminishe?
Aseeee walimu wote nawajua mwalimu ndago msambaa mwenzangu jaman mwalimu mpogolo some body kimwana na mwalimu mwanachia sasa mbona umemsahau mwalimu wetu wa darasa kutoka darasa la mwalimu ndago linalofatia jina limenitoka darasa la pili alikua anatuuzisha ice cream za ukwsju ukiwahi anakupa dell uhangaike nalo mkononi daaah umenikumbusha mmasai lazaro yaan tulilua tunamsumbua alikua mnoko vipiiii unawakumbuka dotto na kulwa wale mapacha walikuwa darasa la juu walitupita kama madarasa matatu walikua wana fujo na wakorofi shule nzima wakifanya fujo nyuma kule uwanja wa mpira shule inafungwa
3500 missionary position styl 8000/=bei gani siku hizi?
Fafanua mkuu walimmaliza kivipimwanyamala kiboko kuna jamaa tulimaliza nae form six alikuwa anishi mwananyamala tumemaliza pepa kama leo kesho wakanda coco beach na marafiki zake wa mwanyamala wakamumaliza huko huko