Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mkuu nimeku PM mda tu...fanya uje
 
hak yanani wa mwisho kufunga huu uzi atakuwa shunie...
 
Kuna siku walikuja bongo movie mitaa ya makaburin pale sikumbuki vizur ila chuchu hans na cloud nais walikuwepo na kivits cha pink hivi wakaenda kufanya shooting ktk ya makaburi wazawa wakapata fursa kwanza wakafatwa wakaulizwa nani kawambia hapa ndio location? Aliyewapa idhini ya kupiga picha makaburi ya watu nin nani dah wakachanganyikiwa pale huku wandewa wameizunguka vits powerwindo, redio, taa za nyuma zikaondoka...wale wasanii wakaomba msamaha pale wakasema wanafata kibali kumbe ile kuwauliza uliza ilikuwa kuwazuga tu kule vijana wanifanyia kazi vits
 
Bigwa nae mkubali Jamaa anaitwa mchafu anakopi nyingi mzee wa kutoa mkwaju
Mchafu anaweza kuja kijiweni kwenu kavalia kofia kubwa IPI msimtambue halafu anasema 5000 kwa 5000 kuzuia goli ktk michezo mitatu. Yule jmaa katembea mpka vijijini wanamjua hilo jina kawala sana watu pesa kuzui goli
 
Mchafu anaweza kuja kijiweni kwenu kavalia kofia kubwa IPI msimtambue halafu anasema 5000 kwa 5000 kuzuia goli ktk michezo mitatu. Yule jmaa katembea mpka vijijini wanamjua hilo jina kawala sana watu pesa kuzui goli
Kweli kamanda ila kavuta kama miezi 3 hivi nakubali kuliko hata mangezi akiwa Na arosto ya fegi hata ukiweka jero anapitia
 
umesahau na Nyarugusu f.c, siku ikipigwa game kagera ranger vs nyaragusu, uwanja wa makurumla hakukaliki, nimesoma karume pr, kitaa kagera mikoroshini
nakumbuka
MZEE KINESI alikuwa analoga sana kipindi cha pili mpira uvunjike mechi irudiwe aingize ela
nakumbuka Mechi flani ABAJARO na KAGERA kma sikosei mpira suluhu kupiga penart hataki anadai eti muda umeisha giza kumbe ana lolote anataka mechi irudiwe apate ela
ABAJARO watoto wa sinza walikuwa wanajifanya wanaela sana wamechukua kombe la kinesi wakaleta MZIKI na Solothangs akawa ndo anaimba
 
niambrieeee hiyo sio ya watoto wa vingunguti hao timbereeeeend kwa kina makala hiyo mdogo wake mamaasakina na mshikaji fulani hivi mdau sana wa twanga
kiyaiyai yeye swaga yake ndo hiyo sekunde kumi tu kashataja watu 10 kwa uwiano wa sekunde 1 jamaa noma sana
 
Tulikuwa tunapiga sana msuli kipindi kile kuna alqed ya kina sadalah,lijoh,loko,chiundo, nk na ile ya kina kawale,mkute,chozi, nk
mimi nilikuwa ile ya kina kawale FARIDA chozi nk kwa ticha MAIKO pale CCM UJIJI tulikuwa na kina ROGERS wa shule ya kisiwani na wenzake ila kuna nyingne ya mr. k alikuwa anakaa kwa MZEE DIZAMIRE pale msikiti wa malamala karibu na luku ila yeye alikuwa anajua sana MATH
 
Jamaa yangu walikuwa pamoja na kina Cheka kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…