Mkuu mbona unapenda utata kausha bhana....umejitia uwakili kwa vitu usivyovijua;kukusaidia tu,matukio yote ya Ngomero hayakusemwa kwenye ule uzi ila bottom line ni kuwa ulikuwa ni uzi wa 'kumtukuza' muuaji!
...swali rahisi:akili yako imekutuma kabisa kuamini yeye kuniwazia mimi ni 'mpuuzi' ni sawa,ila mimi kumuwazia yeye ni 'jinga kabisa' ni sivyo alivyo;
....dah,we mkewe??
Mkuu njoo PM bhana nimekucheck tuyajenge...then hao watu wengine achana nao awana madhara wana stress zao tu Topic ya ngomero ipo sehem nyingne...pia hakauna sehem ata moja mtu yoyote aliyesema amemkuta james anaua zaid ni tetesi na maneno yake akishalewa hizo issue za kuchimba makaburi zipo na anafanya kweli issue ya kuifadhi maiti za vichanga kinyume na taratibu kwel alifanya na pia polis alipelekwa sie sio mahakama wala atujui kwanini yupo uraiani mpka leo..hakuna mwenye evidence kuwa alikuwa anakula nyama ya mtu, anachinja watu n.kMkuu mbona unapenda utata kausha bhana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kombe la Dunia Mwaka 199O
Mwananyamala nzima..
TV tulikuwa tunaangalia kwa Mzee Tabu Jumanne Mangala..
alikuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza...
Lazima Uoge ndo uingie ukacheki Game ndani
Tena TV ilikuwa inawekwa nje uani.....
Bila kumsahau DullyJrBigup ziwaendee
Shunie, Mshanajr, Mjushi mmetisher kwenye huu uzi
Ni mpaka leo ama,maana tangazo lake nalionaga pale kinondoniUkisikia tangazo lolote la Tanzaone Herbal clinic usiende huyu bwana tapeli
Umemaliza mwaka gani Makumbusho,unaikumbuka mihogo ya kazi bure?Dah so sad alikua mwalimu wangu mkuu shule ya msingi makumbusho.
πππππDaahh nshalishwa nyama ya mbwa mwananyamala nikijua mbuzi
Hivi bado yupo? Namkumbuka sana
Nikiwa maeneo fulani nikaitwa baa kufika nikaagiza soda baada ya muda washkaji wakajua natokea mwananyamala, wakaniambia umeishi Mwananyamala halafu haunywi pombe?
Nikajibu ndiyo.
Wala hauvuti sigara wala bangi?
Nikajibu ndiyo.
Mshkaji akamalizia 'Ms.nge unajifanyisha siyo kweli'
Hivi bado yupo? Namkumbuka sana
Mmh nitaenda Madale aisee nipe direction vizuri
Unamkumbuka Mzee Ndevu?Mwanae alikufa akijidunga madawa?Maiti ikakutwa na sindano yenye madawa kwenye uume,maana aljidunga sehemu za mwili mpaka mishipa yote ikapotea,akaanza kujidunga kwenye uumeMmh nitaenda Madale aisee nipe direction vizuri