Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
We jamaa Saidi yupo hapa hapa hajaenda kokote, juzi nimemuona.Saidi yupo south asahv anawapa tigo makaburu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa Saidi yupo hapa hapa hajaenda kokote, juzi nimemuona.Saidi yupo south asahv anawapa tigo makaburu
Bhas itakuwa kasharudi mana majuzikati alikua yupo southWe jamaa Saidi yupo hapa hapa hajaenda kokote, juzi nimemuona.
Dah nakumbuka hili tukio na yule jamaa alimkuta dada mmoja anatwanga ndo akamyang'anya ule mwichi akaenda kumtandika nao kichwani yule mshkaji na ligi ikaishia hapoKibesi,zingo.....dah hiyo game ilikuwa ukombozi pale manzese chama langu hili ndio likapukutika mtu alipigwa na kinu cha kichwa roho ikaacha mwili
Hii kibokoPia usisahau Mwananyamala ndio sehemu pekee unaweza ukapata Wali Maharagwe kwa tsh 300 na ukashiba kabisa!
Siyo huyo, huyu kijana mdogo yaani huko fb ukionyeshwa sura pekee unajua ni bintiSaid wa Said Manyema? Baba chichi?
Alikua Jo'burg. Labda karudi mara moja.We jamaa Saidi yupo hapa hapa hajaenda kokote, juzi nimemuona.
mkuu umeniudhi sana kutumia hili jinaUkiwasikia kina anti abuu
Keko kuna balaa toka enzi na enzi mpaka kesho ,keko usiende kuishi kila aina ya usela uko huko ,mchana kweupe unakabwa na watu wanaendelea na shughuli zao ,kijana wa miaka 16 anakushikia panga mchana,keko pasua kichwa watoto na watu wa huko wameshindikana ....keko kuna story tamu hope Uzi wake utafunguliwa
Magomeni pako poa sio kihivyo ,magomeni kagera mpaka Argentina hupenda sana michezo ya ngumi na vijana wengi wameingia huko ndio kwakina Thomas mashali huko kila mtu anajifanyia bondia
Mwembechai,mikumi,mapipa palikuwa hot lkn sio kama keko,mwananyamala,kigogo nk ..binafsi ni mzoefu wa magomeni mapipa mitaa ya suna huku ukitaka druglords ,watengeneza hela feki utawapata ,matapeli ,watoto wa mjini utawapata mpaka watoto waliosumbua miaka ya 2014,2015 kwa jina la panya road utawapata wakazi wa kinondoni wanawafahamu sana hawa
Ila kigogo,keko,Tandale ndio yanashabihiana na mwananyamala ..magomeni utundu upo ila maisha ya huku yapo medium kati kwa kati ndio maana kuna utofauti na mitaa tajwa hapo juu hivyo usela sio sana kama huko ila pachangamfu
karibu na banda la kuonyesha mpira la ammy jMkuu unaishi Magomeni sunna ipi?
Nimechekaa sanaaaMwalimu nyamakate imebidi nimpigie simu farshuu ljoh anitajie jina ahhaha me sijawahi kugombana na mtu kuhusu chenji halaf mwalimu nyamakate ukiwahi lazima akupe dell halaf ice cream zake alikua haesabu nimezila mm jaman wakati nikiuza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me mtoto wa A Rrondo na huko kuna nyumba yetu mpaka leo sasa hivi nipo mitaa ya kwangu kati kati ya dar huku kwa watu wanaojua kutumia pesa zao
karibu na banda la kuonyesha mpira la ammy j
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana Bana me ni M mwana wa C acha niishie hapa aisee ukifungua hiyo code baki nayo moyoni
Kambale wamekudandia kwenye nguo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kumbukumbu yangu ya nyamala ni ule uwanja wa B...yani lolote linaweza kutokea kabla,katikati na baada ya mechi
wahuni wanavuta bangi mbele ya askari
enzi hizo gemu za ndondo watu wanakuwa na majeshi mastaa,akina lunyamila,mohamed hussein mmachinga,said msasu(huyu alitokea timu ya kitaa chetu hadi akaenda simba)
tulikuwa tunatembea kwa mguu tokea mwembechai,tunadondokea tandale kwa tumbo flani,tunavuka kimto cha kizushi(daraja mti mmoja mwembamba,usipokuwa good balancer unadondokea majini ukitoka kambale wamekudandia nguoni)
kwa ufupi mwananyamala ni nyoko..my favorite spot ni masai these days....nyapu nje nje
ujiji wake kwa waume ni wezi kuna mmoja alikosakosa kuniibia simu pale kituoni mdada full tejaHapo ujiji siku yangu ya kwanza natembea night mitaa hio wazee wa kazi wakanichukulia simu ,..una bahati sema
Kuna mmoja kasepa kimoja, hajarudi tena kukomenti. Teh teh teh teh.Hizi ID fake zitawakutanisha mtu na Mkwewe ktk uzi huu, halafu ushangae kumbe nyuma ya keyboard ni wataniii...[emoji23] [emoji23] [emoji23]