Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kibesi,zingo.....dah hiyo game ilikuwa ukombozi pale manzese chama langu hili ndio likapukutika mtu alipigwa na kinu cha kichwa roho ikaacha mwili
Dah nakumbuka hili tukio na yule jamaa alimkuta dada mmoja anatwanga ndo akamyang'anya ule mwichi akaenda kumtandika nao kichwani yule mshkaji na ligi ikaishia hapo
 
Daah huu uzi wanikumbusha mbali sana. Mimi makuzi yangu nimekulia Sinza na Magomeni mitaa ya sunni. Ila nilikua nashinda sana mitaa ya kinondoni na mwananyamala kupiga soka huko.
Nakumbuka siku moja uwanja wa m/nyamala siku hizi wanapaita etihad alipita bishoo kaulamba karibu na wahuni. Nikajiuliza huyu mgeni nini au anajiamini sana?? Kutahamaki wahuni wawili mmoja kashika ndoo za chuma enzi hizo na mwingine alikua na rungu kubwa kabisa wakawa wanamnyatia kwa nyuma. Basi yule mwenye ndoo akamvisha ndoo fasta kichwani na mwingine wa rungu akamkandamiza rungu pale kichwani alipovishwa ndoo. Ilibidi wadau tucheke tu kwa ile action. Jamaa wakampukutisha palepale. Jamaa alizima kwa muda.
 
Keko kuna balaa toka enzi na enzi mpaka kesho ,keko usiende kuishi kila aina ya usela uko huko ,mchana kweupe unakabwa na watu wanaendelea na shughuli zao ,kijana wa miaka 16 anakushikia panga mchana,keko pasua kichwa watoto na watu wa huko wameshindikana ....keko kuna story tamu hope Uzi wake utafunguliwa

Magomeni pako poa sio kihivyo ,magomeni kagera mpaka Argentina hupenda sana michezo ya ngumi na vijana wengi wameingia huko ndio kwakina Thomas mashali huko kila mtu anajifanyia bondia

Mwembechai,mikumi,mapipa palikuwa hot lkn sio kama keko,mwananyamala,kigogo nk ..binafsi ni mzoefu wa magomeni mapipa mitaa ya suna huku ukitaka druglords ,watengeneza hela feki utawapata ,matapeli ,watoto wa mjini utawapata mpaka watoto waliosumbua miaka ya 2014,2015 kwa jina la panya road utawapata wakazi wa kinondoni wanawafahamu sana hawa


Ila kigogo,keko,Tandale ndio yanashabihiana na mwananyamala ..magomeni utundu upo ila maisha ya huku yapo medium kati kwa kati ndio maana kuna utofauti na mitaa tajwa hapo juu hivyo usela sio sana kama huko ila pachangamfu

Mkuu unaishi Magomeni sunna ipi?
 
Hapo hakuna mfano kila kitu cha mjini kipo,hii ni pamoja na mambo yote mabaya ya Dar yanafanyika hapo<<<<<<<<Take Care
 
Mwalimu nyamakate imebidi nimpigie simu farshuu ljoh anitajie jina ahhaha me sijawahi kugombana na mtu kuhusu chenji halaf mwalimu nyamakate ukiwahi lazima akupe dell halaf ice cream zake alikua haesabu nimezila mm jaman wakati nikiuza
Nimechekaa sanaaa
 
Me mtoto wa A Rrondo na huko kuna nyumba yetu mpaka leo sasa hivi nipo mitaa ya kwangu kati kati ya dar huku kwa watu wanaojua kutumia pesa zao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana Bana me ni M mwana wa C acha niishie hapa aisee ukifungua hiyo code baki nayo moyoni
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
kumbukumbu yangu ya nyamala ni ule uwanja wa B...yani lolote linaweza kutokea kabla,katikati na baada ya mechi
wahuni wanavuta bangi mbele ya askari
enzi hizo gemu za ndondo watu wanakuwa na majeshi mastaa,akina lunyamila,mohamed hussein mmachinga,said msasu(huyu alitokea timu ya kitaa chetu hadi akaenda simba)
tulikuwa tunatembea kwa mguu tokea mwembechai,tunadondokea tandale kwa tumbo flani,tunavuka kimto cha kizushi(daraja mti mmoja mwembamba,usipokuwa good balancer unadondokea majini ukitoka kambale wamekudandia nguoni)
kwa ufupi mwananyamala ni nyoko..my favorite spot ni masai these days....nyapu nje nje
Kambale wamekudandia kwenye nguo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hizi ID fake zitawakutanisha mtu na Mkwewe ktk uzi huu, halafu ushangae kumbe nyuma ya keyboard ni wataniii...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mmoja kasepa kimoja, hajarudi tena kukomenti. Teh teh teh teh.
 
Back
Top Bottom