Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah ***** hamkumind[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Maana yake mtoto kaa kimya....hii ni maana ya kibantu. Lakini mshana si mtoto yeye anaongea....
Uko sahihi mkuu ila tafsiri yako umeipa ukali sana Mwana nyamala - Mwana nyamaza au mtoto nyamaza.
 
SALUM S HEMED
mkuu, umenikumbusha mbali kishenzi.
Ahahaha
Mkuu chama dola nipe report mkuu nimekukumbusha nini? Huyo Samilo ulishawai kumsikia? Na kuna mtoto mwingine alikuwa anajiita Sam jaco(shabani) huyo hatar hatar (mwizi wa roba, visu ) alimkaba sister wa mtaa wetu alipokuja sokoni Tandale kipindi kile nguo za mitumba ni tandale tu(tulianza kumtafuta tandale nzima kuanzia saa mbili usk mpaka saa saba maskani zote tukamkosa)...asubhui akaipeleka handbang na simu pale kituo cha polis tandale yeye mwenyewe....
 
Tupia picha tuione mwananyamala, wengine tupo kikatiti huku tunahisi ipo kama dubai
Angalia video ya Nandi kivuruge imeshutiwa mwananyamala Mchangani wanapaita bar mpya.Mateja wakitoka kumeza methadone hapo ndio wanakuja kunywa uji wa lishe na supu ya mapupu.na kuamshia stimu za ngada na sposi.
 
Wataje hao wasanii tukwambie walio katika orodha ya arvs
 
Uzuri wa huu uzi umefanya watu wote wamekuwa marafiki, hakuna kuparuana watu kumbe wengine wanajuana kabisa toka enzi za utoto namuona JINGALAO naye kumbe ni mtoto wa kitaa kabisa safi sana mwisho wa siku wote ni ndugu.

Haya wazee wa Friends ranger, Messina, Kagera ranger, Nyarugusu Fc, Milambo, Faru dume, National, Las vegas, sheki utd, abajalo, sinza stars dah zama zile bwana ilikuwa hatari, MSHANA tuletee uzi wa Magomeni,Manzese, Sinza, Tandale, shekilango, mburahati,tiptop..
 
hahahaha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kabisa... Uzi huo uko njiani kaa mkao wa kula
 
..Ni salama ila ni maeneo hatari KARIBU
Mkuu ungetupia picha ya eneo lililokuwepo lile gogo kwenye maskani ambapo manyaunyau alitoa ile kitu ya wachawi iliyokuwa inakula rinda za wana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…