Dah,mkuu umenichekesha balaa hadi my kids hapa wananishangaa!Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Kitambo sana mkuuHata Dr Matunge wa Matunge herbalist clinic alikuwa Mwananyamala si mbali sana na Mwananyamala hospital
Kiuhalisia kabisa ni kwamba ile hospital imejengwa juu ya makaburi na ni njia kuu ya mapito ya wachawi na kuna kilinge kikuu pale ndio maana hospital ile ni special case.. ImeshindikanaUkiona mgonjwa wako amelazwa mwananyamala hospital hesabia amekufa
Kuna watu kama 5 huku mtaani vijana walilazwa hospitali ya mwananyamala na wakafa na wengi hufa karibia na alfajiri ,mpaka watu wakawa wanatania endapo mtu akitaka kwenda kutibiwa hospitali ya mwananyamala ..mie siwezi kwenda kutibiwa hospitali ile kama nikiwa mahututi
Sema madaktari wao wapo poa sana nimechonga vyeti vya ugonjwa feki vingi
[emoji23] [emoji3] [emoji23] wanaita deo lazima uliwe deo hapo gesti kamanyola ukiinuka tu kuelekea milango ya gesti aliyekuuzia room ndio anauza tena mchezo analipwa then anatoa sign kwa wazee wa deo room unayopewa socket ya taa na feni vipo direct yanii ukizima taa na feni inakuwa Off..ile upate upepo wa feni na taa iwe ON wazee wadeo wapo dirishani....hapo kamanyola pametoa mashoga wengi sana kule dirishani ktk chaboKamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Duu unaifahamu vema.. Sitaki kuuliza zaidi[emoji23] [emoji3] [emoji23] wanaita deo lazima uliwe deo hapo gesti kamanyola ukiinuka tu kuelekea milango ya gesti aliyekuuzia room ndio anauza tena mchezo analipwa then anatoa sign kwa wazee wa deo room unayopewa socket ya taa na feni vipo direct yanii ukizima taa na feni inakuwa Off..ile upate upepo wa feni na taa iwe ON wazee wadeo wapo dirishani....hapo kamanyola pametoa mashoga wengi sana kule dirishani ktk chabo
Hapo lazima mizizi ilihusikaVibaka wezi hawa maarufu hawatakaa watokee tena.. Nina historia nao.. Mjushi anawafahamu vema kila mmoja kwa sekta yake
Morroco
Kumbwiga
Tito
Jumanne
Pembe
Walinitengeneza nami nikawatengeneza ngoma draw... Tukaenda sawa.. Sasa hivi wanakula bata akhera
Ngoja nikupe matukio ya siku ya uchaguzi halafu utasema mwenyewe unahisi matokeo yalikuaje.Matokeo yalikuwaje mkuu?
Waambie kuna mjomba wao anaishi jehanamDah,mkuu umenichekesha balaa hadi my kids hapa wananishangaa!
Mkuu nahisi soon tutatambuana kwenye huu uzi maana unatoa details precisely, mi nakuacha.Yule mzee noma ofisi anaiendesha mwanae yeye katulia nyumbani
TumekwishaaKamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Khaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimecheka hatari!!! Hebu hao waliokuwa wanakaa hapo watuambie walikuwa wanajisikiaje??...[emoji23] [emoji23]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Inaonekana umehama zamani sana mwananyamala, mnanda na mchiriku hayo ni mambo ya miaka ya 90 kipindi hicho Chaukucha na Jagwa bado zipo.Usisahahu mchiriku au mnanda wa hapa na pale hasa wanapotoka kuoa au kuolewa bagamoyo na kisarawe...yaani kigoma kinalia usiku kucha!
Haha haha haha haha Rehema Chalamila(Ray C) kapigwa sana Mtungo mitaa iyo. Wazee wa Dozi walikuwa wakishampa unga ni mwendo wa mtungo kwenda mbeleChimbo za ray C, wazee wa mitungo