Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Dah Jf imesheheni dizaini za ungaunga watu wa Ngeta, wazee wa vidole, roba za mbao, majambakaa, makanjanja, watu wa miselepeto, wazee wa mande, panga shaa TMk watoto wa mbwa, vijana wa Topaz wakichungulia ghetoni umeliwa, wana wa segere na mnanda, anampiga mchuchu anasepa na chupi ya demu pia.
Humu JF ndio kuna mafundi wa nyanja zote hadi ULOZI
Hii ndio Jf
 
Humu JF ndio kuna mafundi wa nyanja zote hadi ULOZI
Hii ndio Jf [emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
PROF Vulata alikuwa na Kombi nyuma imechorwa nyotanyota
 
7. Wachawi wanga na waganga Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka.
hii conclussion ya no.7 imeniacha hoi..mkuu wewe ni noma...nakuvutia picha usiku wa manane upo anga hata la mwenge unavyolichek kwa hofu anga la mwananyamala.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
hii conclussion ya no.7 imeniacha hoi..mkuu wewe ni noma...nakuvutia picha usiku wa manane upo anga hata la mwenge unavyolichek kwa hofu anga la mwananyamala.
 
Wachawi wanga na waganga Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23]
hii conclussion ya no.7 imeniacha hoi..mkuu wewe ni noma...nakuvutia picha usiku wa manane upo anga hata la mwenge unavyolichek kwa hofu anga la mwananyamala.
 
Ali Kiba Team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…