Daah, so sad, atakuwa mzima kweli!!!maana mitungo hainaga maandalizi kama tunavyowaandaa mademu na wake zetuHaha haha haha haha Rehema Chalamila(Ray C) kapigwa sana Mtungo mitaa iyo. Wazee wa Dozi walikuwa wakishampa unga ni mwendo wa mtungo kwenda mbele
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo wote waliowahi kulikalia hilo gogo walitafunwa?...Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Usiogope mkuu huwezi nijuaMkuu nahisi soon tutatambuana kwenye huu uzi maana unatoa details precisely, mi nakuacha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
Bado nilikuwa napitapita...zile nyumba za Nyamala nyingi sana zilikuwa ni kota za NHC kama sikosei.Inaonekana umehama zamani sana mwananyamala, mnanda na mchiriku hayo ni mambo ya miaka ya 90 kipindi hicho Chaukucha na Jagwa bado zipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pia usisahau Mwananyamala ndio sehemu pekee unaweza ukapata Wali Maharagwe kwa tsh 300 na ukashiba kabisa!
Mkuu hilo gogo ukikalia ukanyanyuka mwenzako anakimbilia nafasi, na ukirudi unalianzisha unataka sehemu yako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo wote waliowahi kulikalia hilo gogo walitafunwa?...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimecheka hatari!!! Hebu hao waliokuwa wanakaa hapo watuambie walikuwa wanajisikiaje??...[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuuhh hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
Sikujibu hili swali ila username yako inanikumbusha jamaa nilicheza naye mpira ulikua una demu pale kiwanjani.Usiogope mkuu huwezi nijua
Hivi lile shoga la hapo uwanjani bado lipo?
Sure mkuu alikuwa mwanayamala kisiwani..project yake ilikuwa na uwezo wa kumnyima mteja moja huduma akampa mteja mwingne huduma yanii room yako aupati channel ila room inayofata wanapata huduma za channel. OFF na ON anaweka kwake seva anayo yeye tu usipomlipa anakata channel akiwa kwake...apakuwa na dish wala antena ni kebo km TTCL ila walimchoma wambea wa mtaa defender nyingi zilimfataAhhha na kuna jamaa aliwahi kukamatwa sema location sikumbuki vzur,yeye alikuwa anakuunganisha dstv,azam ,startmies,nk kwa Pamoja nadhani alkuwa anachaji bk 5 pekee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi ikawaje, walimpa kura wakamchagua tena au?Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Basi mkuu wewe ulikua unapita au unaishia VictoriaBado nilikuwa napitapita...zile nyumba za Nyamala nyingi sana zilikuwa ni kota za NHC kama sikosei.
Tena nyingi sana zina dari za miti.
Hahahahaha umenifurahisha hapo unaposema switch ya fan na taa zipo connected[emoji23] [emoji3] [emoji23] wanaita deo lazima uliwe deo hapo gesti kamanyola ukiinuka tu kuelekea milango ya gesti aliyekuuzia room ndio anauza tena mchezo analipwa then anatoa sign kwa wazee wa deo room unayopewa socket ya taa na feni vipo direct yanii ukizima taa na feni inakuwa Off..ile upate upepo wa feni na taa iwe ON wazee wadeo wapo dirishani....hapo kamanyola pametoa mashoga wengi sana kule dirishani ktk chabo
Kipa wao bambino...salum kiwiku no nyingne huyu mtu tutamwanzishia uzi wake KING VOLENOKulikuwa na baunsa anaitwa Kibesi na mwengine Kiwiko.
Vurugu zikianza wanafunga geti la uwanja wa mwananyamala B
Ha ha ha..Basi mkuu wewe ulikua unapita au unaishia Victoria
bro mshana huyu jamaa bado yupo? manake nahitaji kuzamia ng'ambo nikanunue grisi yakutosha then nirudi[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
Ahhha aisee bongo wachawi wengi wangemuacha jamaa apige hela,ila uswahln kuna mainjinia wazur bila kupita darasanSure mkuu alikuwa mwanayamala kisiwani..project yake ilikuwa na uwezo wa kumnyima mteja moja huduma akampa mteja mwingne huduma yanii room yako aupati channel ila room inayofata wanapata huduma za channel. OFF na ON anaweka kwake seva anayo yeye tu usipomlipa anakata channel akiwa kwake...apakuwa na dish wala antena ni kebo km TTCL ila walimchoma wambea wa mtaa defender nyingi zilimfata