Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Haha haha haha haha Rehema Chalamila(Ray C) kapigwa sana Mtungo mitaa iyo. Wazee wa Dozi walikuwa wakishampa unga ni mwendo wa mtungo kwenda mbele
Daah, so sad, atakuwa mzima kweli!!!maana mitungo hainaga maandalizi kama tunavyowaandaa mademu na wake zetu
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo wote waliowahi kulikalia hilo gogo walitafunwa?...
 
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu

hahaha Yani unapewa hadi visa?
 
Inaonekana umehama zamani sana mwananyamala, mnanda na mchiriku hayo ni mambo ya miaka ya 90 kipindi hicho Chaukucha na Jagwa bado zipo.
Bado nilikuwa napitapita...zile nyumba za Nyamala nyingi sana zilikuwa ni kota za NHC kama sikosei.
Tena nyingi sana zina dari za miti.
 
Khaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimecheka hatari!!! Hebu hao waliokuwa wanakaa hapo watuambie walikuwa wanajisikiaje??...[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuuhh hatari
 
Ahhha na kuna jamaa aliwahi kukamatwa sema location sikumbuki vzur,yeye alikuwa anakuunganisha dstv,azam ,startmies,nk kwa Pamoja nadhani alkuwa anachaji bk 5 pekee
Sure mkuu alikuwa mwanayamala kisiwani..project yake ilikuwa na uwezo wa kumnyima mteja moja huduma akampa mteja mwingne huduma yanii room yako aupati channel ila room inayofata wanapata huduma za channel. OFF na ON anaweka kwake seva anayo yeye tu usipomlipa anakata channel akiwa kwake...apakuwa na dish wala antena ni kebo km TTCL ila walimchoma wambea wa mtaa defender nyingi zilimfata
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi ikawaje, walimpa kura wakamchagua tena au?
 
Bado nilikuwa napitapita...zile nyumba za Nyamala nyingi sana zilikuwa ni kota za NHC kama sikosei.
Tena nyingi sana zina dari za miti.
Basi mkuu wewe ulikua unapita au unaishia Victoria
 
[emoji23] [emoji3] [emoji23] wanaita deo lazima uliwe deo hapo gesti kamanyola ukiinuka tu kuelekea milango ya gesti aliyekuuzia room ndio anauza tena mchezo analipwa then anatoa sign kwa wazee wa deo room unayopewa socket ya taa na feni vipo direct yanii ukizima taa na feni inakuwa Off..ile upate upepo wa feni na taa iwe ON wazee wadeo wapo dirishani....hapo kamanyola pametoa mashoga wengi sana kule dirishani ktk chabo
Hahahahaha umenifurahisha hapo unaposema switch ya fan na taa zipo connected
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
bro mshana huyu jamaa bado yupo? manake nahitaji kuzamia ng'ambo nikanunue grisi yakutosha then nirudi
 
Sure mkuu alikuwa mwanayamala kisiwani..project yake ilikuwa na uwezo wa kumnyima mteja moja huduma akampa mteja mwingne huduma yanii room yako aupati channel ila room inayofata wanapata huduma za channel. OFF na ON anaweka kwake seva anayo yeye tu usipomlipa anakata channel akiwa kwake...apakuwa na dish wala antena ni kebo km TTCL ila walimchoma wambea wa mtaa defender nyingi zilimfata
Ahhha aisee bongo wachawi wengi wangemuacha jamaa apige hela,ila uswahln kuna mainjinia wazur bila kupita darasan
 
Back
Top Bottom