Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Nakumbuka timu yetu ya nondo ilikua inasifika kwa vurugu kuliko mpira,walikua wanamabaunsa wengi kuliko wachezaji mpaka kuna mwaka waliua shabiki maeneo ya manzese ikawa soo mpaka timu yenyewe ikajifia ikabakia jina tu
Kibesi,zingo.....dah hiyo game ilikuwa ukombozi pale manzese chama langu hili ndio likapukutika mtu alipigwa na kinu cha kichwa roho ikaacha mwili
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Hahaha kwa hiyo na wewe ushaa fumiliwa mkuu ?[emoji1]
 
Kamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
mshana jr you have made my day. Hilo la chapo kulipiwa ni kali kuliko. Ila ni kweli kwani uswazi kuna mengi. Nashangaa wana bongo movie wanaigiza vitu vya upeo wa juu vilivyowashinda uwezo wakati uswazi kumejaa kila aina ya hazina. Hata watunzi wa vitabu. BTW hata wewe ninahisi una kipaji cha kuandika kizuri sana
 
Umeisahau vipi Mwananyamala KomaKoma?
Masai Club kwa mzee mponda?
Nimekula sana hapo kwa mma ntilie karibu na A!
Usisahau hapo Mwananyamala kila familia haikosi mtoto mmoja au wawili wako UK..BRAZIL AU CHINA kwa shughuli za kipunda.
Masai ya juzi tu
 
kapigwa sana nyuma ya mitaa ya mahakama ya kinondon kule kisa kete ka geto ka chafu daaa ray c watu walifidia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu si pale nyumbani kwa kina amini yule muimba mziki.ray c ndo ilikuwa maskani watu wamemlalua sana pale kino mahakaman
 
watoto wa ujiji hua hatunaga shobo za kukimbiza mwizi ukiporwa simu eneo la ujiji we kimbiza mwizi wako mwenyewe,,,ila tukikatiwa madirisha yetu tunajua machimbo ya kupata vitu vyetu,,, we ukitaka kufaulu mwananyamala basi usiwe mnoko,,wala usiwe kihele hele wa maisha yatu,,vingnevyo wachawi na vibaka hawatokuacha salama kila siku,,ila ule ukanda wa kisiwani mpaka kwa mama zakaria unaongoza kwa umalaya,, watoto wadogo wamekubuhu wanaliwa na wazee,,ni hatari sana
 
Mada ya James Ngomero bingwa mtuhumiwa wa vichanga 11 imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...
Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwmateja ana JF Dar wing ni wakazi wa Mwananyamala/ Kinondoni katika ujumla wake... Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia

1. Madawa ya kulevya ; Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania

2. Hospital ya mwananyamala ; ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nknk

3. Matapeli ; hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry muro bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya mwananyamala

4. Ofisi na kampuni za mifukoni.. Eneo lote la Kinondoni mkwajuni mpaka biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo
Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu wanasheria, wabunge hata mawaziri nk

5. Machangudoa wasagaji mashoga Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters

6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako.. Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao

7. Wachawi wanga na waganga... Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka

8. Wasanii wanamuziki wa aina zote bongo movies, taarab, nk kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala

9. Wahamiaji haramu, wakongo wamalawi wakenya waganda warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala

Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na wana JF, Mwananyamala wing...





Mkuu Mshana Jr. Hapo namba 3 kwenye matapeli hapooooo. Koma koma na mwananyamala kisiwani kuna matapeli wa kufa MTU,, jina LA mjini wanajulikana kama wabeshi
 
Kamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Daaaaah mkuu umenikumbusha mbaaaaaali sana ile bakule ilikuwa zamani kabla hiyo road haijapigwa lami ilikuwa vumbi kipindi hiko muvi la komando kipensi lazma liwekwe pale bar tukawa tunaenda kuchungulia ktk matobo.....kuna baamed alikuwa booooonge anaitwa amina yeye akikuona unachungulia anachukua kiti anakuja kukaa usawa wako anakuziba dah...tulikuwa tunalifinya alafu nduki mbaya ...kipind hko nipo primary mwananyamala b
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
MwananyamalA kisiwani hiyo
 
Kamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
 
Mada ya James Ngomero bingwa mtuhumiwa wa vichanga 11 imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...
Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwmateja ana JF Dar wing ni wakazi wa Mwananyamala/ Kinondoni katika ujumla wake... Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia

1. Madawa ya kulevya ; Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania

2. Hospital ya mwananyamala ; ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nknk

3. Matapeli ; hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry muro bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya mwananyamala

4. Ofisi na kampuni za mifukoni.. Eneo lote la Kinondoni mkwajuni mpaka biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo
Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu wanasheria, wabunge hata mawaziri nk

5. Machangudoa wasagaji mashoga Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters

6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako.. Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao

7. Wachawi wanga na waganga... Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka

8. Wasanii wanamuziki wa aina zote bongo movies, taarab, nk kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala

9. Wahamiaji haramu, wakongo wamalawi wakenya waganda warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala

Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na wana JF, Mwananyamala wing...
Kwahiyo Mwalimu akiwa mbunge wa Kinondoni ndio ataifuta hiyo historia uliyotuletea? Mbona hujazungumzia ile ofisi yenu pale kwa mama Zakaria ambapo kwa sasa panauzwa gongo mkisubiria 2020!
 
Kamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Kuna wapga chabo maarufu mwalimu wa msufini na bon jove wa shoka hawa walikuwa na vyeo kabisa vya upigaj chabo,nakmbuka mzee kamanyola aliajir wamasai walinde watu wasipige chabo matokeo yake haohao wamasai ndo wakawa wanapiga chabo ikabidi watimuliwe wakazungushia ukuta usawa wa madirisha ikawa ndo kama wamerahisisha kaz kwa wazee wa chabo maana walikuwa wanaingia ndan ya ukuta wanachek muv la bureeeeew
 
Back
Top Bottom