Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua mkuu walikutengeneza nini na ukawa tengeneza nini?Vibaka wezi hawa maarufu hawatakaa watokee tena.. Nina historia nao.. Mjushi anawafahamu vema kila mmoja kwa sekta yake
Morroco
Kumbwiga
Tito
Jumanne
Pembe
Walinitengeneza nami nikawatengeneza ngoma draw... Tukaenda sawa.. Sasa hivi wanakula bata akhera
Yale maneno ndo raha ya draft yenyewe,unasikia jamaa anakuambia eti" Mimi nimewahi pewa mke na mimba yake sababu ya hivi vitu sasa wewe unakuja kujifunzia kwangu" hahahahaWacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo
Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo
Sasa hivi kuna road imenyooshwa pale le uchochoro haupo tenaDuh!nimekaa sana ghetto hiyo mitaa,kuna kichochoro flani matata sana kati ya ukuta wa mahakama na nyumba ya mzee Chidumule hapo wanachuo wa Tumaini wamekwapuliwa sana simu,laptops na hela kisha masela wanakimbilia kwenye madimbwi yale nyuma ya Kambangwa Sec.
Mbuyu wa kwa manjunju ni shidaUzi wa mshana usingekamilika bila namba 7
Kama ulikua unaongea sana halafu jahazi ndiyo linakuzamia mwenzako anaanzaYale maneno ndo raha ya draft yenyewe,unasikia jamaa anakuambia eti" Mimi nimewahi pewa mke na mimba yake sababu ya hivi vitu sasa wewe unakuja kujifunzia kwangu" hahahaha
Sitaisahau hii siku jamaa baada ya zile fujo Deus akaenda kushtak polisi wakaja kukamata baadhi ya vijana waliohusika basi taarifa zikarudi msikitini dah jamaa mida ya saa 4 wakafika pale kituo lilianzishwa mbilinge la hatari mpaka jamaa wakawaachiaMwananyamala kuna msikiti unaitwa taqwa ulikua moja ya misikiti yenye harakati na walikua ma master wa karate,akikabwa muumini mmoja basi wahuni wenyewe walikua wanawajua maana wakija wanapiga mtaa mzima na polisi wenyewe wanawaogopa.washawahi vamia baa ya bakule et yule mwenye baa aliwaalika watu wale daku baa usiku wa ramadhani hahaha ***** watu baa walichezea kichapo
hapo Royal ni ninoma Malaya kibao hapo..nimelalewa kinondoni na m/Nyamala nilikuwa sikauki cuz dingi yangu mdogo anaishi Kule....Balaa.
Sasa hivi kuna msambaa anapika supu hapo opposite na royal.
Kila asubuhi lazima nipate supu hapo
Swali ni je museveni alifundisha mwaka gani chuo cha ushirika?Museveni amepaishwa sana na Mwalimu Nyerere. Alivyokuwa UDSM Ikulu alikuwa anakanyaga kama nyumbani, na nyumba ya Upanga alipewa na Ikulu, Mwalimu akielewa mpango mzima wa Museveni wa kuingia msituni kwenda kumtoa Amin.
Baada ya Amin kumpindua swahiba wake Mwalimu Nyerere, Milton Obote.
Ndiyo maana nauliza, Mwananyamala Museveni kakaa mwaka gani?
Teh teh Utakua jirani na wezi wengine akina kumbwiga na pembe!kuwaona mchana hao watu ni nadra sana ila asubuhi unasikia wamepiga tukioHahahaha gege jirani yangu mtata yeye analala saa 12 asubuh mpaka saa 1 jioni anaamka kazkaz dah
Ile siku machale tu nilienda Golden Rose kula ila nilikua napenda kula BakuleSitaisahau hii siku jamaa baada ya zile fujo Deus akaenda kushtak polisi wakaja kukamata baadhi ya vijana waliohusika basi taarifa zikarudi msikitini dah jamaa mida ya saa 4 wakafika pale kituo lilianzishwa mbilinge la hatari mpaka jamaa wakawaachia
Nawajua vizuri hao mimi nilikuwa natembea free usiku nikikutana nao ni mwendo wa 5 tu kwani ni majirani zangu huhuhuhuhuuuuuuuuuTeh teh Utakua jirani na wezi wengine akina kumbwiga na pembe!kuwaona mchana hao watu ni nadra sana ila asubuhi unasikia wamepiga tukio