Mwenye data na azilete uwanjani tuone nani mchafu zaidi ya mwingine.
Wameanza kumchokonoa wana hamu ya kuyasikia makombora yale 20 aliyobeba, lakini nafrahi kwa kufanya hivyo kuna uwezekano mkubwa sana wakamwongezea jingine la 21, na bado ataendelea kuyatunza mpaka pale atakapojisikia yeye kuyatoa!KWENYE TOLEO LA LEO LA GAZETI LA MTANZANIA LINALOMILIKIWA NA KAMPUNI ILIYO CHINI YA ROSTAM IMEJARIBU KUGUSA MAISHA BINAFSI YA NDOA YA DR SLAA,KIUJUMLA LENGO LA HABARI NI KUMDHARIRISHA DR SLAA MBELE YA UMMA,JE WANATAKA TUANZE KUCHOKOANA MAISHA BINAFSI YA WAGOMBEA NA UCHAFU WAO?WANACHOKOZA NYUKI JE WANAWEZA KWELI KUKIMBIA?MGOMBEA WAO ALITAMKA MBELE YA WATU KUWA ANA WATOTO NANE NA MKE MMOJA TU,JE WANATAKA NASI TUCHOKONOE ZAIDI?:eyebrows::eyebrows::eyebrows:
Wakati mwingine ni jambo jema kujua upande wa pili wa hawa MAFISADI wanaoitafuna nchi kama wanavyojaribu kuchafua wenzao kwa kupitia vyombo vyao vya habari.Inawezekana maamuzi mengi yanatokana na vimada wao ndio maana bado nasisitiza kuwa mwenye data zao aziweke wazi tuwajue.Naona tuzungumzie masuala ya kitaifa na si ya watu binafsi. Wacha wafu wazike wafu wao; na kuna msemo wa kiingereza usemao " Do not urgue with a fool, people may not notice the difference" Nawaasa CHADEMA na Wapenzi na Washabiki wao wapuuze gazeti hilo wasonge mbele na Mikakati yao ya kuushawishi umma wa wapiga kura wawachague period.
Hivi hizi toilet paper za NHC bado ziko sokoni? Aisee nyie mnaozinunua mna roho ngumu kweli
Rostam na wenzake wanahaha!Wanajaribu kuexhaust any possible angle lakin watashindwa!Kama wanaenda personal then itakula kwao!
Huyo ana uchafu zaidi ya huo uliripotiwa leo... Ukweli unauma!
Nimesoma ujinga aliouandika mhariri wa gazeti la Mtanzania kuhusu Dk Slaa. Ni wazi hayo ni maelekezo aliyopewa kwa lengo la kumchafua Dk Slaa. Lakini iwapo Chadema watajibu mapigo na kuchambua uchafu wa kutisha wa mgombea wa CCM patatosha kweli? Watakuwa wavumilivu? Ngoja tusubiri. Hata hivyo, sisi wapiga kura hatuoni suala la kuacha mke na kuoa mwingine kama ni kashfa. Tutampigia kura mgombea ambaye tunaamini ana dhamiri ya dhati ya kupambana na ufisadi na anayejali maslahi ya Watanzania. Tunatambua kuwa ufisadi ndio adui namba moja wa Watanzania kwa sasa. Utawala wa awamu ya nne umewalea mafisadi na kuididimiza nchi kwenye dimbwi la umaskini. Tunasema: Kumepambazuka! Watanzania hawadanganyiki tena
boss of all bossesHuyo ni capo di Tutti capi!!
CCM wamevunja kanuni ya kampeni ya uchaguzi mkuu.Nimesoma ujinga aliouandika mhariri wa gazeti la Mtanzania kuhusu Dk Slaa. Ni wazi hayo ni maelekezo aliyopewa kwa lengo la kumchafua Dk Slaa. Lakini iwapo Chadema watajibu mapigo na kuchambua uchafu wa kutisha wa mgombea wa CCM patatosha kweli? Watakuwa wavumilivu? Ngoja tusubiri. Hata hivyo, sisi wapiga kura hatuoni suala la kuacha mke na kuoa mwingine kama ni kashfa. Tutampigia kura mgombea ambaye tunaamini ana dhamiri ya dhati ya kupambana na ufisadi na anayejali maslahi ya Watanzania. Tunatambua kuwa ufisadi ndio adui namba moja wa Watanzania kwa sasa. Utawala wa awamu ya nne umewalea mafisadi na kuididimiza nchi kwenye dimbwi la umaskini. Tunasema: Kumepambazuka! Watanzania hawadanganyiki tena