Vituko vya Samuel Sitta na Urais

Vituko vya Samuel Sitta na Urais

Nimekaa na kujiuliza sasa kwa nini
Samuel Sitta alibadirika kabisa wakati
wa bunge la katiba na kuwa Sitta
mwingine kabisa.Sitta huyu alikuwa
haambiliki, hashauriki, na si
mpambanaji wa ufisadi.Hatimaye nimehitimisha ya kuwa jamaa huyu ni
mjanja sana.Alirekebisha vifungu
vyote v
 
mekaa na kujiuliza sasa kwa nini
Samuel Sitta alibadirika kabisa wakati
wa bunge la katiba na kuwa Sitta
mwingine kabisa.Sitta huyu alikuwa
haambiliki, hashauriki, na si
mpambanaji wa ufisadi.Hatimaye nimehitimisha ya kuwa jamaa huyu ni
mjanja sana.Alirekebisha vifungu
vyote vyenye nia ya kumpunguzia
raisi madaraka kwa kumuongezea
raisi madaraka zaidi.KUMBE NI KWA
SABABU ANAOTA, ANADHANI KUWA NAYE AWEZA KUJA
RAISI.HIVO ANATAKA AWE RAISI
MWENYE NGUVU NA
ASIYESHAURIKA.Nadhani kulikuwa
na haja ya kuweka zuio kwamba
wenye nia ya kuwania madaraka katika ofisi hiiyo kubwa ya juu basi
wasipewe nafasi katika bunge la
katiba.Kwani jamaa kwa kupewa
nafasi hiyo, akaona hapo ndipo pa
kujipalilia atakapokuwa raisi
asibanwe na mtu yeyote yaani raisi Mungu mtu
 
mekaa na kujiuliza sasa kwa nini
Samuel Sitta alibadirika kabisa wakati
wa bunge la katiba na kuwa Sitta
mwingine kabisa.Sitta huyu alikuwa
haambiliki, hashauriki, na si
mpambanaji wa ufisadi.Hatimaye nimehitimisha ya kuwa jamaa huyu ni
mjanja sana.Alirekebisha vifungu
vyote vyenye nia ya kumpunguzia
raisi madaraka kwa kumuongezea
raisi madaraka zaidi.KUMBE NI KWA
SABABU ANAOTA, ANADHANI KUWA NAYE AWEZA KUJA
RAISI.HIVO ANATAKA AWE RAISI
MWENYE NGUVU NA
ASIYESHAURIKA.Nadhani kulikuwa
na haja ya kuweka zuio kwamba
wenye nia ya kuwania madaraka katika ofisi hiiyo kubwa ya juu basi
wasipewe nafasi katika bunge la
katiba.Kwani jamaa kwa kupewa
nafasi hiyo, akaona hapo ndipo pa
kujipalilia atakapokuwa raisi
asibanwe na mtu yeyote yaani raisi Mungu mtu
We ndo kilaza kweli kweli, nahc hapo ulikuwa unaota ndoto za mchana na hiyo ni sababu ya kunywa viroba na bangi hizo, acha kudanganya watu humu ndani.
 
Alieandika ana hoja ila we uliechangia ndio mpiga viroba na bangi soma uelewe kisha uchangie.
 
Nimekaa na kujiuliza sasa kwa nini Samuel Sitta alibadirika kabisa wakati wa bunge la katiba na kuwa Sitta mwingine kabisa.Sitta huyu alikuwa haambiliki, hashauriki, na si mpambanaji wa ufisadi.Hatimaye nimehitimisha ya kuwa jamaa huyu ni mjanja sana.Alirekebisha vifungu vyote vyenye nia ya kumpunguzia raisi madaraka kwa kumuongezea raisi madaraka zaidi.KUMBE NI KWA SABABU ANAOTA, ANADHANI KUWA NAYE AWEZA KUJA RAISI.HIVO ANATAKA AWE RAISI MWENYE NGUVU NA ASIYESHAURIKA.Nadhani kulikuwa na haja ya kuweka zuio kwamba wenye nia ya kuwania madaraka katika ofisi hiiyo kubwa ya juu basi wasipewe nafasi katika bunge la katiba.Kwani jamaa kwa kupewa nafasi hiyo, akaona hapo ndipo pa kujipalilia atakapokuwa raisi asibanwe na mtu yeyote yaani raisi Mungu mtu

Huyu alikuwa siyo kabisa, kati ya watu niliokuwa siwa kubali kabisa ni sitta acha aoshwe tu
 
Hivi huyu hakupata uwaziri awamu hii? Na yuko wapi mbona hasisiki?
 
Back
Top Bottom