Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,117
- 1,966
Tujikumbushe vituko ambavyo tulivifanya kipindi tunasoma sekondari 1990s.
Kuwakaribisha form one kwa kipigo mabwenini,ilikuwa lazima form aliyekuwa akijiunga na secondary za bweni lazima alipata kipigo
Form one amewahi kulipa ada kwangu nikiwa form six,nikijifanya Mimi ni Mwl.
Kutongoza mademu ni kiingereza tu,na mkifunga shule ,vijana wa kiume wanaona raha kupiga stories na wanafunzi wa kike ambao nao walikuwa likizo pale mtaani.
Mkiwa kwenye group la watu,wale wa secondary ni kiingereza tu
Hakuna furaha kama siku umetumiwa barua kwa njia ya post,ikasomwa parade ulikuwa unaonekana bora sana kuliko wengine
Vijana ambao hawajaenda sekondari,haitatokea hata Siku moja akamtongoza binti aliyekuwa secondary, walikuwa wanawaogopa sana
Ongeza na mengine
Kuwakaribisha form one kwa kipigo mabwenini,ilikuwa lazima form aliyekuwa akijiunga na secondary za bweni lazima alipata kipigo
Form one amewahi kulipa ada kwangu nikiwa form six,nikijifanya Mimi ni Mwl.
Kutongoza mademu ni kiingereza tu,na mkifunga shule ,vijana wa kiume wanaona raha kupiga stories na wanafunzi wa kike ambao nao walikuwa likizo pale mtaani.
Mkiwa kwenye group la watu,wale wa secondary ni kiingereza tu
Hakuna furaha kama siku umetumiwa barua kwa njia ya post,ikasomwa parade ulikuwa unaonekana bora sana kuliko wengine
Vijana ambao hawajaenda sekondari,haitatokea hata Siku moja akamtongoza binti aliyekuwa secondary, walikuwa wanawaogopa sana
Ongeza na mengine