vituko vya uchaguzi kenya

Eti police have been kicking the door since morning! Polisi wa Kenya washindwe kuvunja mlango, tena na mali yao imefungiwa ndani? Daganya toto.
 
Wanaume wa Nairobi
Wamefanya nini? Wewe tembea Nairobi afu mkipishana na mwanaume wa Nairobi mgonge bega uone kitakachofata. Vijana Nairobi huwa wanasema hapan tambua. Hehe unadhani huku kuna yale maneno ya wanaume wa Dar na chipsi mayai?
 
Eti police have been kicking the door since morning! Polisi wa Kenya washindwe kuvunja mlango, tena na mali yao imefungiwa ndani? Daganya toto.
Unaujua strong wewe au unadhani ni store ya kuhifadhia bia
 
Sidhani kama watakaopiga kura leo watazidi 40% kwa hali ilivyo.
Mungu awe pamoja na walenya wafanikishe kwa amani
 
Kipindi hiki chuki imeingia nchini ...Viongozi jamani jitahidini kuleta amani...inasikitisha



 
Wamefanya nini? Wewe tembea Nairobi afu mkipishana na mwanaume wa Nairobi mgonge bega uone kitakachofata. Vijana Nairobi huwa wanasema hapan tambua. Hehe unadhani huku kuna yale maneno ya wanaume wa Dar na chipsi mayai?
Walimwibia Rafiki yangu pale oracle, aisee wanaume wa Kenya 9/10 ni wakora potential. Thievery in their blood.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…