Vituko vya wanaume wa Dar

Vituko vya wanaume wa Dar

Screenshot_20180325-182656.jpg
 
Acheni mambo ya ajabu nyie mbona mnaponda sana wanaume wa Dar kila siku wanaume wa Dar kwani tumewafanya nini mbona Dada zenu wakija huku kufanya kazi za ndani wanarudi home na watoto alafu hamuongei swainn...
 
Umesahau lingine la kula Mahindi ya kuchoma kwa ndimu,

Any way maisha ya Dar ni pesa nyingi, kitovu cha mafanikio, Elimu, Nguvu

Ndo maisha hapa petu yalivo kama kusukuma levi la bush , hatutaki shida wala shobo, kama zileee tulizo pata vijijini kwa Bibi na Babu zetu.

Ugali wa Dar upo wa aina nyingi sana, siyo km huko kwa Ma- Bush star. mtama tuuu! ugumu wote ule heeee! ndo maana nyaa zenu zina makovu,

Tatizo lenu hamuelewi kuzidi sana, mkiona, vyakula km ice cream, Kachori, urojo, chips rojo, mchuzi wa pweza, Biriani, Bifu, samvu la kopo, Hamburg zenye nyama msago, mwadhani ni ulee! uji wa ulezi mliozoea,

Vyoo vile tunavyo jisaidia ndani kama kopo usiku , ni vya thamani sana, hakuna cha kutupa Dar, unaweza kuuyeyusha huo mkojo na ukafanya maji fresh tena, nikakupa utumie km mgeni wangu.

unaweza kuyaoga, kunywa yaani ni full portable water closet self container, msiogope kuvitumia siyo vikopo jamani, kwa usafi wake ule, mnadhani Radio call zile? au.
Poleni sana hamjui mengi!

Vinyesi vya Dar ni deal sana, ukijua kuyagema, unaweza tengeneza pombe, Maji km Uhai, ukauza mikoani, na ukapata pesa, hata Mbolea ya kukuzia maua, mboga mboga, Majani ya kulishia mifugo, Gas ya kupikia, air condition, fridge, umeme wa nyumbani, nk.

kuna hili jingine watu wa mikoani wanatusema sana eti sisi ni wa gonjwa tunavaa makoti mazito wkt wa joto!
Hii ni Makoti Dar, msiige mtakufa! yaani ma- jacket/ makoti yetu sisi yana full time AC,

Sasa basi kadiri unavotembea kwa mguu unafua umeme wa kusukuma AC yako, kupitia kwenye Mapaja, visigino, na makwapa.
hapohapo ujue kuwa ukichomoa Betri yake, unaweza tumia nyumbani km mwanga wa kawaida au hata Radio.

Hiyo ndiyo Dar , mkae huko huko mlime, msije kutubana bana huku. hamkawii kutuandikia vichambo kwenye vyoo vyetu, siku hizi hkn siri kuna Camera, public Toilet zoote! ukiandika tu, tunafungua camera.

Matembele siyo majani ya viazi, km mlivo zoea! msituonee wivu, ndo tuna songa mbele ivo!
 
wanaume wa dar wakitukanwa na wakisemwa na wake au wachumba zao huwa wanalia
Ujue kuwa katika hali km hii hatulii kama kulia machozi, tuna mpa-surprise adimu, bidada, na lazima akupe tu unachotaka kama akiona chozi adimu la dume la miraba.
na huenda asione tena, chozi km hilo maisha yake yote.
 
Back
Top Bottom