Vituko vya wanaume wakati wa Kufanya Mapenzi !

Vituko vya wanaume wakati wa Kufanya Mapenzi !

Duh.! Katika uliowataja hapo nahisi na mimi ni mmoja wao maana kuna sehemu umenilenga kabisa.!
Tupia basi kapicha nikuone kama sio wewe niliyewahi kukutafuna kipindi nikiwa huko !

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulikuwa unanusa kyupi hahahahaj[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kuacha kuandika matukio mbali mbali ya maisha niliyopitia lakini nimeshindwa jamani.
Sema na nyie wanajf mna matusi mnakera kweli badala mkae hapa msome viroja mnaanza tena kunishauri wakati yalishapita zamani mtabadilishaje sasa mxeeew

1.Mwanaume huyu wakati tunataka kuingia kunako mahabaa alikuwa ana tabia ya kunusa kwanza chupi zangu ili apate mzukaaa.
Siku tuliyoachana ni siku ambayo alisema niache kwake chupi niliyovaa eti anajisikia vizur kunusa nusa.
Nilimnyima na tukaachana kabisa mpaka nilihisi huyu ana utajiri wa Masharti labda kunusa kyupi za wapenzi wake ndo anazid kupata madorali.

2.Huyu mwingine jamani alikuwa akitaka kuninyonya chuchu mweewwh kama anang'ata jamani weeeeh utazani anakula supu ya utumbo wa ng'ombe ambao haujaivaa ukitoka hapo chuchu zinawaka moto ptuuuuuuu.

3.Huyu alikuwa kiboko hajui kupapasa eti ananifinyafinya mwilini jamani khaaaa alikuwa ananikera akikushika kiuno atakufinyafinya kama nini!

4.Vunja rekodi huyu kaka alikuwa ananilamba mwili mzima kuanzia miguuni mpaka kichwani na mimate ananitemea nikitoka hapo hakuna haja ya kuogaa jamani masikio yanaziba kabisaa. Nikahisi natembea na binadamu nyoka Swila.

Hitimisho:
Siku zote najua hakuna mwanaume au mwanamke aliyewahi kuwa na mpenzi mmoja so sitaki shoboooo kama wewe unaona aibu kutaja umetembea na wanaume au wanawake wangapi kivyakooooo mxeew.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwazi huu unatakiwa unamwambia mwenza wako kisha unasikilizia.
 
Nimejaribu kuacha kuandika matukio mbali mbali ya maisha niliyopitia lakini nimeshindwa jamani.
Sema na nyie wanajf mna matusi mnakera kweli badala mkae hapa msome viroja mnaanza tena kunishauri wakati yalishapita zamani mtabadilishaje sasa mxeeew

1.Mwanaume huyu wakati tunataka kuingia kunako mahabaa alikuwa ana tabia ya kunusa kwanza chupi zangu ili apate mzukaaa.
Siku tuliyoachana ni siku ambayo alisema niache kwake chupi niliyovaa eti anajisikia vizur kunusa nusa.
Nilimnyima na tukaachana kabisa mpaka nilihisi huyu ana utajiri wa Masharti labda kunusa kyupi za wapenzi wake ndo anazid kupata madorali.

2.Huyu mwingine jamani alikuwa akitaka kuninyonya chuchu mweewwh kama anang'ata jamani weeeeh utazani anakula supu ya utumbo wa ng'ombe ambao haujaivaa ukitoka hapo chuchu zinawaka moto ptuuuuuuu.

3.Huyu alikuwa kiboko hajui kupapasa eti ananifinyafinya mwilini jamani khaaaa alikuwa ananikera akikushika kiuno atakufinyafinya kama nini!

4.Vunja rekodi huyu kaka alikuwa ananilamba mwili mzima kuanzia miguuni mpaka kichwani na mimate ananitemea nikitoka hapo hakuna haja ya kuogaa jamani masikio yanaziba kabisaa. Nikahisi natembea na binadamu nyoka Swila.

Hitimisho:
Siku zote najua hakuna mwanaume au mwanamke aliyewahi kuwa na mpenzi mmoja so sitaki shoboooo kama wewe unaona aibu kutaja umetembea na wanaume au wanawake wangapi kivyakooooo mxeew.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mshana Jr mbona hujaweka vituko vyake Demiss
 
Hebu nitafsirie kidogo mwenzio shule la saba

Sent using Jamii Forums mobile app

Hamna kikubwa hapo. Najua umeelewa ila kwa kuwa umenitaka niweke kwa kiswahili, poa. Kutokana na jamaa aliyeniquote, nikasema basi kama mwanamke (akiwa muwazi) anawaza sex kiasi hiki basi wanaume itakuwa balaa kama atakuwa muwazi. Kwa maana ya kwamba sisi wanaume basi muda wote tunawaza sex.
 
Back
Top Bottom